Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Ahsante Mkuu.B
int Hongera
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante Mkuu.B
int Hongera
[emoji23][emoji23][emoji23]Lazima nimekai..!!! Ligoli la kavele lipeti pagatipagati pa magulu ga Inonga..!!!
Umetabiri vizuri. Dakika ya 81 limekuja.Hapana mkuu,litakuja
Tena wale wanaofanana aina ya Identical.Simba hatutaweza kunywa maji mjini.
Mayele kamaliza mchezo.
Kitakachofuata ni kumpa heshima yake Mayele kuliko kuendelea kumbeza.
Msimu uliopita wa ngao ya hisani ni Mayele huyo huyo aliyetumaliza, leo tena Mayele yule yule karejea kutupiga.
Kama ni mimba, basi ya leo ni mapacha, tena mapacha wanaofanana.
Kwa sababu ya uzoefuukiacha refa kuwabeba Uto sub ya kocha wetu imetucost,Mzamiru amejiishia kitambo mno sijui ameongezwa mkataba kwaajili gani.
Identical twinsSimba hatutaweza kunywa maji mjini.
Mayele kamaliza mchezo.
Kitakachofuata ni kumpa heshima yake Mayele kuliko kuendelea kumbeza.
Msimu uliopita wa ngao ya hisani ni Mayele huyo huyo aliyetumaliza, leo tena Mayele yule yule karejea kutupiga.
Kama ni mimba, basi ya leo ni mapacha, tena mapacha wanaofanana.
Yote hiyo haifai, hata huyo hanabdi kuelimishwa.Kama msemaji wa timu yake anamuita mzungu sasa kwanini hao wengine wasimuite hivyo
Mleteee mzudhunguuu
Mleteee mdhunguuuuu
UmetishaHuyo sakho atafunga goli lenu pekee, huku wanachi tukitoka kifua mbele.
Ulikuwa sahihi sana mkuukwa ichi kikosi Simba anakifa asubuhi tuView attachment 2323095
Ila wewe jamaa [emoji119][emoji119]Huyo sakho atafunga goli lenu pekee, huku wanachi tukitoka kifua mbele.
Soma tena ulicho andikaTukiacha ushabiki wa kijinga Inonga ni beki la maana.
Hahaha kikosi cha kwanza tunakitaka mzunguko wa kwanzaKikosi cha pili kinawatesa utopolo, leo tumeamua rasmi kuwaonesha wao sio level yetu ndio maana CAF hawawapi mialiko, waache kelele zao.
Wameyakanyaga siyoMakolo huu msimu tunaenda kuchukua kila kitu tena maana nyie mmewekeza kwenye propaganda za kijinga.
Zile zama za jiwe na Makondakuharibu timu yetu kisiasa hazipo tena.
This time maji mtaita mma.
Hapa mtaani ukitaja Mayele tu,wanatoka ndukiGood morning Simbaaa, jana mmelala na viatu, poleni watani[emoji23][emoji23][emoji119]
Yaani wamezingua sana, walianza kwa mbwembwe kwa kuongoza, hakika mpira dk 90😂Hapa mtaani ukitaja Mayele tu,wanatoka nduki
Tuendelee kusubiri?Hapa pana hatrick nyie tulieni
Kuna jamaa asubuhi ananipigia simu baada ya kuona screenshot ya utabiri huko twitter, analalamika kwa nini nsikumwambia ili abet tupige pesa.😂😂😂Ila wewe jamaa [emoji119][emoji119]