FT: Yanga 2-1 Simba | Yanga yatwaa Ngao ya Jamii

FT: Yanga 2-1 Simba | Yanga yatwaa Ngao ya Jamii

Rudia kuisoma comment yako tena.
Am very sorry! Ila kiukweli Mayele ni mchezaji rahisi sana kukamiwa na mabeki.

I wish kipindi cha pili Berndard Morrison, Zawadi Mauya, na Herittier Makambo wangewapokea tu Fiston Mayele, Farid Mussa na Sure Boy.

Hii mechi bado ni 50/50 mpaka sasa. Hakuna timu iliyo elemewa. Yanga wamefanya kosa moja, wakaadhibiwa. The same simba pia inaweza kukosea na Yanga kusawazisha, na pia kuongeza goli la ushindi.

Inonga tayari ana kadi nyekundu mkononi.
 
Rudia kuisoma comment yako tena.
Kwani ni uongo! Mayele ni mwepesi kukamiwa! Kuanzia mechi za mwishoni mwa msimu, na pia kwwnye mechi ya jana, hali ilikua ni hiyo hiyo! Na hasa kwenye kipindi cha kwanza Uzuri wake ukimsahau, au ukifanya makosa; anakuadhibu!

Na ndicho kilichofanyika jana. Na ufahamu pia ujumbe huo niliutuma kabla ya kipindi cha kwanza kuisha, huku timu ikiwa nyuma kwa goli moja! Hivyo hakuna jipya hapo. Ulikuwa ni mtazamo wangu.
 
Back
Top Bottom