joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Kweli sio washindani wetu fainali ya tatu mfululizo na kubabua.Utopolo kweli tunawafunga na hiki kikosi?! kuanzia leo nyie sio washindani wetu tena...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli sio washindani wetu fainali ya tatu mfululizo na kubabua.Utopolo kweli tunawafunga na hiki kikosi?! kuanzia leo nyie sio washindani wetu tena...
Kabisa Chama mtu mbad.Kuna kitu nilikuwa sijui, kumbe kuwa na Chama kwenye timu kuna maana kubwa sana.
Jamaa anawafanya waliomzunguka wawe wazuri pia, aisee Chama sio mtu mzuri...
Am very sorry! Ila kiukweli Mayele ni mchezaji rahisi sana kukamiwa na mabeki.
I wish kipindi cha pili Berndard Morrison, Zawadi Mauya, na Herittier Makambo wangewapokea tu Fiston Mayele, Farid Mussa na Sure Boy.
Hii mechi bado ni 50/50 mpaka sasa. Hakuna timu iliyo elemewa. Yanga wamefanya kosa moja, wakaadhibiwa. The same simba pia inaweza kukosea na Yanga kusawazisha, na pia kuongeza goli la ushindi.
Inonga tayari ana kadi nyekundu mkononi.
Kwani ni uongo! Mayele ni mwepesi kukamiwa! Kuanzia mechi za mwishoni mwa msimu, na pia kwwnye mechi ya jana, hali ilikua ni hiyo hiyo! Na hasa kwenye kipindi cha kwanza Uzuri wake ukimsahau, au ukifanya makosa; anakuadhibu!Rudia kuisoma comment yako tena.
We mwamba, unataaluma gani?Huyo sakho atafunga goli lenu pekee, huku wanachi tukitoka kifua mbele.
Ubaya kaupata lini na ni rahisi kukabika mkuu???Kawamaliza aisee! Huyu Mayele ni mtu mbaya sana.
One mistake, one goal!!!! It is unbelievable!!
Jibu limejibiwa kwenye mstari wa pili wenye bolding.Ubaya kaupata lini na ni rahisi kukabika mkuu???
Lakini we jamaa noma. Ulikosea kidogo tu.Kuna jamaa asubuhi ananipigia simu baada ya kuona screenshot ya utabiri huko twitter, analalamika kwa nini nsikumwambia ili abet tupige pesa.😂😂😂
Unajizima data au sioJibu limejibiwa kwenye mstari wa pili wenye bolding.
Bebi umeona tulivyo wapiga mashine Simba?Derby ya leo goal ni 1 tyuuh.
Pole sana KoloUto anakufa leo maana hawa watani hushinda kwa zam
Pole sana KoloUtoooo vimbeni vimbenii mji wenu huuu
Haya churaPole sana Kolo
Hizi tabia zimeota mizizi kwenye vilabu vyetu. Hata Simba walitozwa faini na CAF kwa vitendo vyao vya ushirikina kwenye mchezo wao dhidi ya Orlando Pirates pale Johannesburg, Afrika ya Kusini.Eng.Hersi azuie hizi tabia za kijinga kwenye klabu anayoiongoza.
Vipi huo mdomo umemaliza kuulambaNikikumbuka Okwa, Okrah, na Akpan wanaingia kipindi cha pili, najilamba mdomo tu...
Eeeh ulimaliza kulamba mdogoNikikumbuka Okwa, Okrah, na Akpan wanaingia kipindi cha pili, najilamba mdomo tu...
Eeh mlichokonolewa kwa nyuma au sio [emoji3][emoji3][emoji3]Walipitia mlango wa nyuma sisi tunawachokonoa kwa mbele.
Hana siku nyingi pale atatemwaHuyu Enock Inonga atakuja kuumiza wenzake! Sifa zimezidi. Utafikiri anacheza judo bhana!