Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Ni faulo ndio nayeye kakubali, ila sio faulo ya kutoa kadi kwa point of view yakeRefa kazingua kweli ile ilikua Foul kabisaaa
Ila kihalisia ilipaswa kutolewa kadi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni faulo ndio nayeye kakubali, ila sio faulo ya kutoa kadi kwa point of view yakeRefa kazingua kweli ile ilikua Foul kabisaaa
Kupigwa goli moja ndo kimawafanya muutilie mashaka uprofessa wa Nabi? Si juzi tu hapa mlidaj mnaenda kufanya makubwa huko CAFCL?Yanga ina mashimo mengi mno ambayo yanatakiwa yawekwe sawa. Timu haiko balance, kiungo imezidiwa na pressing ni mbovu na kukaba inawapa ugumu. Nabi ana kazi ya kufanya laasivyo hii timu haitoboi champions league
Mpira ulikuwa nje..
MbelekoIla huu mpira ulionga hili goli ulikuwa tayari umetoka nje
La mchongoGoooal