Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
- Thread starter
- #181
Ndala bonge la mido
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameshakula kimojaYanga ana asilimia nyingi za mushinda kutokana na chemistry walionayo
Tofauti na Azam ambauo bafo inataguta muunganiko tena katika nyakati ambazo kocha ni mgeni na hii ni mechi yake ya kwanza
Kwa mchezaji mmoja mmoka Azam nawaona wako bora kuliko yanga
Sisi ndo wazee wa hizi mambo. Uliza kaka Yako mbumbumbu fc atakuambia. Subili uone mpira tutaokupigia Cha pili maji mtaita maaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unazani ni kupindua matako?
[emoji1787][emoji1787] Tate mkuu acha kumchanganya manula wetu na utopolo wenuSiku hizi hana tofauti na Aishi Manula! Kila mechi anafungwa magoli ya aina ile ile. Cha kushangaza akipewa Mshery nafasi, anatoka na clean sheet!
Weka zako. Paka mda huu Yanga ndio angetakiwa kuwa anaongoza, hongera Kwa goalkeeper wa Azam fc kwa kazi nzuriHizi Takwimu za Azam Ni Sahihi?
Kwa kikosi hiki cha leo, tukijitahidi basi ni sare. Kocha amepanga kikosi cha kidwanzi. Amewadharau sana Azam! Na wakati wana kikosi bora sana msimu huu.Mtakuja kujua muda ukiisha, kupoteza points 3 kwenye hii ligi ya sasa ni kujiandalia pressure tu.
Hata golikipa wetu namba moja kwa sasa amebakia jina tu.Huyu Lomalisa Hana Maisha Marefu Tanzania
Hahaha kama vile mwalimu anavyowaamlisha wanafunzi wake nimecheka sana mamaHaya tulieni,
Kipindi cha pili kinaanza
Good analysisKocha Nabi naye kuna wakati mawenge yanampanda kichwani. Mechi ya leo hakutakiwa kuwaanzisha Bigirimana, Morrison na Nkane kwa wakati mmoja.
Hawa siyo wakabaji! Kiungo kimekufa kwa sababu tu ya upangaji mbovu wa timu. Kipindi cha pili Sure Boy, na Fei Toto waingie kuongeza mashambulizi.
Refa kazingua kweli ile ilikua Foul kabisaaaAzam wamecheza foul wachezaji wa Yanga wamemzonga refa wakitaka wampe kadi mchezaji wa Azam
Refa kagoma kutoa kadi, ingekuwa ni Simba hapo ungesikia inabebwa na TFF
Na hili jina lake la kwanza hadumu hapoHuyu Lomalisa Hana Maisha Marefu Tanzania