Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiona kipa wa timu amekuwa Bora jua lango lake liko kwny misukosuko sanaAzam wamesajili kipa
Na ukiona kipa wako hapewi sifa ujue lango lake liko matatani sanaUkiona kipa wa timu amekuwa Bora jua lango lake liko kwny misukosuko sana
U a not siriazNa ukiona kipa wako hapewi sifa ujue lango lake liko matatani sana
Leo mnapasuliwa kinyamaAzam wanaongoza bao Moja, kipindi cha pili Wananchi tunakuja kupindua matokeo kama kawaida yetu
Cuz I'm ScarsU a not siriaz
Siku hizi hana tofauti na Aishi Manula! Kila mechi anafungwa magoli ya aina ile ile. Cha kushangaza akipewa Mshery nafasi, anatoka na clean sheet!Mdaka mishale atakuwa amevaa miwani
Ngoja nikuite mbwa in advanceYanga akishinda mniite mbwa nimekaa pale
[emoji117][emoji117][emoji117]
Siku hizi hana tofauti na Aishi Manula! Kila mechi anafungwa magoli ya aina ile ile. Cha kushangaza akipewa Mshery nafasi, anatoka na clean sheet!
Kocha Nabi naye kuna wakati mawenge yanampanda kichwani. Mechi ya leo hakutakiwa kuwaanzisha Bigirimana, Morrison na Nkane kwa wakati mmoja.Leo mnapasuliwa kinyama