Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
amini nakwambia leo Yanga awatoki pale Lupaso.Weeeeeee apia!........
Ukweli mtupu. Hata golikipa wetu Diarra kwa sasa anachezea jina tu. Ila uwezo wake huwezi kuulinganisha na mzawa Abuutwalib Mshery.Kama jinsi ambavyo Simba Sc walipigwa kwa mzungu, ndivyo jinsi ambavyo Yanga mmepigwa kwa Lomalisa na Bigirimana.
Kuwapa hype kubwa sana wachezaji wakati wa usajili huwa inawagaribu sana psychologically, hapo kila akipata mpira anawaza kufunga tu.Hivi Huyu Azizi Ki Kweli?
Azam wako vizuri. Kocha asipofanya mabadiliko ya lazima, leo tunafungwa. Bigirimana anacheza kifaza sana. Sure Boy na Fei Toto wakiingia, ndipo unafuu utakapo patikana.So far Yanga bado nawapa asilimia ya ushindi
Cha muhimu watulize hisia zao wafocus kwenye ball
Mashabiki wa Yanga hatuna mihemko kama wapinzani wetu.No peace matokeo yakibaki hivi
Full violence
Lomalisa, Bigirimana, na Denis Nkane wamezidiwa mbinu na wapinzani wao. All in all, Azam ya msimu huu siyo ya mchezo mchezo.Huu Upande Wa Kipre Yanga Watafakari
Sijawahi kumkubali huyu jamaa kwenye kutangaza mpiraNa Mpenja anaboa kwa utangazaji wakea anasema eti Djgui Diarra amepishana na mshale ambao umechana chana protector afu ukaingia kambani