Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Mungu ibariki AzamGoooooal Azam moja huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu ibariki AzamGoooooal Azam moja huko
Hahaha mkuu Morrison huko amefanyiwa kile kitu ambacho Mayele alimfamyia EnongaMungu ibariki Azam
wahuni wanapita upande wa da joy?Wananchi tukubali tu ukweli huyu Joyce Lomalisa tumepigwa. Yaani leo amekuwa ni uchochoro wa Azam.
Kama jinsi ambavyo Simba Sc walipigwa kwa mzungu, ndivyo jinsi ambavyo Yanga mmepigwa kwa Lomalisa na Bigirimana.Wananchi tukubali tu ukweli huyu Joyce Lomalisa tumepigwa. Yaani leo amekuwa ni uchochoro wa Azam.
Weeeeeee apia!........tayari waanchi washaumizwa huko.
Kipindi cha pili mkirudi na ujinga wenu wa kila mchezaji kutaka kufunga, mtaongezwa jingine.Afadhali Azam wamepata goli lao lakufutia machozi mapema