Mashabiki wao wengi hawana smartphones, linapokuja swala la social networks mashabiki wa Simba huwa na engagement kubwa sana.Uzi unapelekwa na wana Simba wana yangayanga matumbo joto mida hii wakifunga ndo utawaona humu yani hawanaga mchcheto na vitu vyao
Huyo ni mwehuYanga kuweni makini sana na Morrison ni mchezaji mzuri ila anaweza kawa cost sometimes
Kacheza rough ambayo haikuwa na msingi wowote, kupitia tukio lake kajikuta anaipotezea timu yake muda wa kusawazisha goli
HahahhhhhMashabiki wao wengi hawana smartphones, linapokuja swala la social networks mashabiki wa Simba huwa na engagement kubwa sana.
Hili sihitaji kulitolea ushahidi maana lipo wazi.
Sijawahi kumdharau huyu golikipa. Na hata CV yake tu huwezi kumlinganisha na mlinda mlango yeyote yule kwenye ligi yetu.Hatimae umekubali ? Nikimuangalia namuona Denis Onyango wa enzi zile.
Tuahawajua upande wao 😂🤣Halafu mbona Mods hawatoi Updates huko juu jamani....
Nataka nione akifanya ule ujinga wake wa kupoteza muda kwenye game ya moto kama hii.Benard Anafanya Ujinga wa KufingIWAAA
Namba ya mpesa ya kipa tafadhari