Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Basi sawa😂😂😂✌
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi sawa😂😂😂✌
Fundi wa rafuAsee bajana amewachakaza sana watu pale kati
Jamaa ni fundi anaujua mpira alaf n katili sana
Mkuu siku nyingine ukiona comment isiyokuridhisha , usiijibu.itasaidia kujiwekea heshima na kulinda utu wakoWakaka wa humu usione wadada tunaoshabikia mpira humu kwamba labda tuna nyege ni ushabiki tumeanza toka wadogo tuna miaka 7 wengine tumekuta wazazi ni washabiki Simba ile wakifungwa ukipita karibu yake unaweza kupigwa konzi. Hivyo tuheshimiane sijawahi kukufata nikakwambia nina nyege nitoe au la. Huu ushabiki sijaanza leo so kwa mnaoniattack kwa kunitusi tegemeeni matusi hayo yatawarudia. Nitukane mbumbu kama ss tunavyowaita hamna akili etc. Lakini hata ningekua na Nyege wewe ulienambia huna hadhi ya kunitoa.
Lakini Simba alifungwa na hawahawaUnbeaten leo lango lao limefumuliwa mara 2 na wauza ice cream kwa aibu kabisa
Kwamba unajiona we ndio una utu sana ?Mkuu siku nyingine ukiona comment isiyokuridhisha , usiijibu.itasaidia kujiwekea heshima na kulinda utu wako
Wajinga ni wengi sana usiwape nafasi kwa kuwajibu ili wakasimulie vijiweni kuwa nao huwa wanabishana na watu kunako social network
Tatizo tunanyanyua sana makombeHalafu vinanuka vikwapa tu Shenzi zao!
MbelekoView attachment 2348376
Huku sio kubebwa bali ni kupakatwa. Wachambuzi uchwara kimyaaa
Makombe ya mbege 😂Tatizo tunanyanyua sana makombe
Tunaongelea unbeaten, simba imeingiaje hapa?Lakini Simba alifungwa na hawahawa
Tena kwa mikono yote miwili...ogopa teknolojiaView attachment 2348376
Huku sio kubebwa bali ni kupakatwa. Wachambuzi uchwara kimyaaa
Ilo shambulizi lililo muhusisha Lomalisa halikua na madhara yoyote ndugu mbumbumbu fc, Shambulizi la goli lilianzishwa na Azizz K Kwa Kona fupi ambayo iliondolewa na mabeki wa Azam na ika mkuta kijana Feisal Salum na kufumua shuti lililo mshinda Kipa wa Azam.
Hii ni tofauti kabisa na Goli mbeleko baada ya Shomari kapombe kucheza mpira uliokua umetoka na kupiga Kross iliyomkuta John Boko na kufunga goli katika mechi iliyo wahusisha Simba na Azam.
Vile vile ni tofauti na tukio la Kibu Denis ku udaka mpira katika eneo lake la hatari katika mechi ya Simba na Azam pale Chamazi akigomea asipigwe kanzu. Refarii Heri Sasii kugomea penalty ya wazi ambayo Azam walistahili kupewa na kupeta.
Kwa hiyo unahalalisha kasa la nyie kubebwa kwamba sababu wengine walifanyiwa na nyie mfanyiwe?Ilo shambulizi lililo muhusisha Lomalisa halikua na madhara yoyote ndugu mbumbumbu fc, Shambulizi la goli lilianzishwa na Azizz K Kwa Kona fupi ambayo iliondolewa na mabeki wa Azam na ika mkuta kijana Feisal Salum na kufumua shuti lililo mshinda Kipa wa Azam.
Hii ni tofauti kabisa na Goli mbeleko baada ya Shomari kapombe kucheza mpira uliokua umetoka na kupiga Kross iliyomkuta John Boko na kufunga goli katika mechi iliyo wahusisha Simba na Azam.
Vile vile ni tofauti na tukio la Kibu Denis ku udaka mpira katika eneo lake la hatari katika mechi ya Simba na Azam pale Chamazi akigomea asipigwe kanzu. Refarii Heri Sasii kugomea penalty ya wazi ambayo Azam walistahili kupewa na kupeta.