OKW BOBAN SUNZU Platinum Member Joined Aug 24, 2011 Posts 53,868 Reaction score 121,001 Sep 7, 2022 #601 Diazepam said: Kwa hiyo unahalalisha kasa la nyie kubebwa kwamba sababu wengine walifanyiwa na nyie mfanyiwe? Na hiyo kona ilikuja tu kutoka mbinguni bila ya hiyo cross ya mchongo? Msitumie nguvu kujieleza sana. Kiufupi mmebebwa sana na hata mbeleko ikachanika. Click to expand... Huyo jamaa hamnazo. Andiko reefu ila shudu tupu
Diazepam said: Kwa hiyo unahalalisha kasa la nyie kubebwa kwamba sababu wengine walifanyiwa na nyie mfanyiwe? Na hiyo kona ilikuja tu kutoka mbinguni bila ya hiyo cross ya mchongo? Msitumie nguvu kujieleza sana. Kiufupi mmebebwa sana na hata mbeleko ikachanika. Click to expand... Huyo jamaa hamnazo. Andiko reefu ila shudu tupu
Diazepam JF-Expert Member Joined Dec 3, 2020 Posts 1,263 Reaction score 3,523 Sep 7, 2022 #602 OKW BOBAN SUNZU said: Huyo jamaa hamnazo. Andiko reefu ila shudu tupu Click to expand... Nilitegemea atakuwa wa kwanza kukemea hili ila ndo kwanza anajustify ujinga. Halafu kesho na kesho kutwa wakifanyiwa wao watataka waende kwa "mama" kwamba wanahujumiwa.
OKW BOBAN SUNZU said: Huyo jamaa hamnazo. Andiko reefu ila shudu tupu Click to expand... Nilitegemea atakuwa wa kwanza kukemea hili ila ndo kwanza anajustify ujinga. Halafu kesho na kesho kutwa wakifanyiwa wao watataka waende kwa "mama" kwamba wanahujumiwa.
Kingfish23 JF-Expert Member Joined Aug 22, 2022 Posts 490 Reaction score 485 Sep 7, 2022 #603 The Conscious said: Asee bajana amewachakaza sana watu pale kati Jamaa ni fundi anaujua mpira alaf n katili sana Click to expand... Jamaa katili sana yule
The Conscious said: Asee bajana amewachakaza sana watu pale kati Jamaa ni fundi anaujua mpira alaf n katili sana Click to expand... Jamaa katili sana yule
Teko Modise JF-Expert Member Joined May 20, 2017 Posts 2,331 Reaction score 7,733 Oct 22, 2023 Thread starter #604 .
Kilimbatz JF-Expert Member Joined Sep 15, 2020 Posts 4,331 Reaction score 5,865 Oct 23, 2023 #605 Teko Modise said: . Click to expand... Acha tuone leo