ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Labda mahakama kuuKwa kikosi cha Yanga hiki, sijaona wa kutufunga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda mahakama kuuKwa kikosi cha Yanga hiki, sijaona wa kutufunga.
Huo ulikuwa uzi wa hovyo kuliko zote tangu kuanzishwa kwa JFKuna mkia mmoja humu amewahi kumfananisha Mayele na Kibuyu Denis.
Huwa anatamani afute lile bandiko lake ila haiwezekani tena.
Hahahahha tumsamehe tu huyu atakuwa kwa sasa atakuwa moyo umetanuka kwa pressureHuo ulikuwa uzi wa hovyo kuliko zote tangu kuanzishwa kwa JF
Huo ulikuwa uzi wa hovyo kuliko zote tangu kuanzishwa kwa JF
Huyo ni shabiki oya oyaHahahahha tumsamehe tu huyu atakuwa kwa sasa atakuwa moyo umetanuka kwa pressure
Aziz ki atakuja kuwaprove wrong kama mayele alivyowaziba midomoMadhara ya kutumia mihemko kujadili mambo muhimu.
Tumsamehe tu ukute ile ni ID ya jemedari 🤣
Anaitwa OKW BOBAN SUNZU.Kuna mkia mmoja humu amewahi kumfananisha Mayele na Kibuyu Denis.
Huwa anatamani afute lile bandiko lake ila haiwezekani tena.
Yanga hii inafurahisha. Inatibu BP na depression 🤣Aziz ki atakuja kuwaprove wrong kama mayele alivyowaziba midomo
Kesho jiandae nikutoe out 😊😊😊[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unanitafuta sio? Sawa!!!!
Usiongee kwa sauti! Wakisikia watanuna.Mimi Yanga ila hata mimi naiogopa aisee
Umelewa pinguMtibwa 2 Yanga 1
Manula na beno pia walifanyakzi kwa mume wenu.Anacheza na waajiri wake wa zamani[emoji1][emoji1]
Huyu Mayele ni balaaMayele kachambua watu kama karanga, Kisha akaweka mpira kambani.
What a goal [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Mayele ni jini, siyo binadamu wa kawaida yule.Huyu Mayele ni balaa
Hata haya yalikuwa yakununua piaMagoli ya mchongo leo bahasha imetembea mtibwa kama wapo mazoezini vile.
[emoji1]Tuna jambo letu hapo baadaye...ngoja tuone vile kutaenda...Kesho jiandae nikutoe out [emoji4][emoji4][emoji4]
Hayo ya kuchambua Simba huwa hamyaoni? Kina sakhoMayele kachambua watu kama karanga, Kisha akaweka mpira kambani.
What a goal [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]