FT: Yanga 3-0 Tabora United | CRDB Bank Federation Cup | Azam Complex | 01.05.2024

Ndio nini
Kwani TFF si walishweka wazi hili swala Au umeshavuta sigara bwege?
 
Mlivyosema ni Pacome, ni viongozi gani hao waliwapa taarifa
 
Kwahiyo hao utopolo ndio walikuwa wanazusha mitandaoni kuwa mchezaji aliyehusishwa ni Pacome?
 
Sasa kati ya Simba na Yanga nani hapo ni Mbumbumbu? Nyie Simba mlisema Yanga kachezesha mchezaji kinyume na utaratibu na mkasema ni Pacome na ndiyo maana hachezi. Sasa mmeanza kuelewa kidogo kidogo ujinga wenu ulipo. Rage alisema.
 
Yanga imewaonea huruma, ilitakiwa ichapwe tano.....wakasimuliane na majirani zao
 
Kushabikia Yanga Rahaa,,,,,,,, , ,, , ,,,,,,,,,,, ,, ,,, , , ,,, , ,,,,, ,,,,,,,,,, ,,,,, , VVV Male living in Tanzania, Length like 15 Yellow Bananas
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…