Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Leo yupo hata benchi atakaaSijajua mkuu
No Pacome no Problems🤸
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo yupo hata benchi atakaaSijajua mkuu
No Pacome no Problems🤸
Luka mkatafito anakucaluWazee wa Kupeleka Motoo..!🤸💚💛🔥
Kombe ni kombe tu; hata kama mashindano yenyewe yameanzia fainali (ngao ya Jamii) au nusu fainali (Muungano) kinachotakiwa na kuwa na kitu kabatini, siku ya mkutano mkuu kinaonyeshwa kama mafanikio.Go Yanga
Tunahitaji makombe yanayoeleweka
FA
Ligi kuu
Sio Tuntura Cup [emoji81][emoji2957]
Kwahiyo unapata hiyo furaha mara chache sana kwa mwaka.Huwa nafurah Sana kuona yanga wakifungwa ama suluhu Ila Sasa sioni opponents wakumstopisha.
Leteni lineup basi,mnasubiri nini?Leo pacome yupo Tabora united wajiandae kisaikolojia
... wasijeugua mfadhaiko wa moyo baada ya kufanyiwa kitu mbaya.Leo pacome yupo Tabora united wajiandae kisaikolojia
Ngoja leo MENDE waangushe KABATI😊Kwahiyo unapata hiyo furaha mara chache sana kwa mwaka.
Kabisa wanaweza wasirudishe timu baada ya kipindi cha kwanza... wasijeugua mfadhaiko wa moyo baada ya kufanyiwa kitu mbaya.
Ngapi ngapi huko???
Ngapi ngapi huko???