ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
UsijeNina pa kulala hata au nikuje huko kwenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UsijeNina pa kulala hata au nikuje huko kwenu
Hata hujapikaUsije
Quote mtuHii limitation ya maneno wanayotutaka JF inatushinda kuleta update
Nikuzijuwa tu sheria 17 za mpira.hata hivyo haina sababu ya wewe kufahamu maana ukiwa First lady kazi yako itakuwa kwenda kuwapa zawadi ya pesa kwa kila goli linalofungwa uwanjani ,hasa kwenye michuano ya kimataifa ambapo utakuwa unaniwakilisha wewe. Lakini nikiwa mbunge na hatimaye waziri itakuwa unakwenda kwenye matukio mbalimbali nakupa nafasi unatia neno huku akina analyse wakikodoa macho Kama wameingiwa na mchanga machoni.Wewe unajua kila kitu hadi raha!
Mimi nataka niwe refa, najaribu kuulizia nini kinahitajika niweze kutimiza ndoto yangu🤸
Daima nyuma
Dah wewe machache tuQuote mtu
Tuwe tunasubiri official news
Ishu ya CAFCC haikuwa uzushi bali ni kweli ila wajumbe wa kamati ya utendaji CAF ndio wamegoma. Wamesema ifutwe AFL au mashindano yote matatu yabakieTuwe tunasubiri official news
Hawa Hawa ndo walizusha kua CAF confereration imefutwa
Walifikaje hapo?Tabora United nayo ni timu ya kucheza na Yanga kweli?
Nikuzijuwa tu sheria 17 za mpira.hata hivyo haina sababu ya wewe kufahamu maana ukiwa First lady kazi yako itakuwa kwenda kuwapa zawadi ya pesa kwa kila goli linalofungwa uwanjani ,hasa kwenye michuano ya kimataifa ambapo utakuwa unaniwakilisha wewe. Lakini nikiwa mbunge na hatimaye waziri itakuwa unakwenda kwenye matukio mbalimbali nakupa nafasi unatia neno huku akina analyse wakikodoa macho Kama wameingiwa na mchanga machoni.
Nikajua mimi tu.Hii limitation ya maneno wanayotutaka JF inatushinda kuleta update
Asante sana ephen ,kula tu kwa niaba yangu mimi nitashiba na kunywa maji.😂Basi sijisumbui tena kua refa
Karibu kula parachichi, nimeenda kununua nimekuta lina jina lako, yaani watu wa Mbeya wameshanijua