FT: Yanga 3-0 Tabora United | CRDB Bank Federation Cup | Azam Complex | 01.05.2024

FT: Yanga 3-0 Tabora United | CRDB Bank Federation Cup | Azam Complex | 01.05.2024

Hii limitation ya maneno wanayotutaka JF inatushinda kuleta update
 
Hawa tunawafunga goli nyingi sana na. kuendelea
 
Wewe unajua kila kitu hadi raha!

Mimi nataka niwe refa, najaribu kuulizia nini kinahitajika niweze kutimiza ndoto yangu🤸
Nikuzijuwa tu sheria 17 za mpira.hata hivyo haina sababu ya wewe kufahamu maana ukiwa First lady kazi yako itakuwa kwenda kuwapa zawadi ya pesa kwa kila goli linalofungwa uwanjani ,hasa kwenye michuano ya kimataifa ambapo utakuwa unaniwakilisha wewe. Lakini nikiwa mbunge na hatimaye waziri itakuwa unakwenda kwenye matukio mbalimbali nakupa nafasi unatia neno huku akina analyse wakikodoa macho Kama wameingiwa na mchanga machoni.
 
Tuwe tunasubiri official news

Hawa Hawa ndo walizusha kua CAF confereration imefutwa
Ishu ya CAFCC haikuwa uzushi bali ni kweli ila wajumbe wa kamati ya utendaji CAF ndio wamegoma. Wamesema ifutwe AFL au mashindano yote matatu yabakie
 
Ni fahari sana kutazama yanga wanavyotandaza soka safi na lakuvutia
 
😂Basi sijisumbui tena kua refa
Karibu kula parachichi, nimeenda kununua nimekuta lina jina lako, yaani watu wa Mbeya wameshanijua
Nikuzijuwa tu sheria 17 za mpira.hata hivyo haina sababu ya wewe kufahamu maana ukiwa First lady kazi yako itakuwa kwenda kuwapa zawadi ya pesa kwa kila goli linalofungwa uwanjani ,hasa kwenye michuano ya kimataifa ambapo utakuwa unaniwakilisha wewe. Lakini nikiwa mbunge na hatimaye waziri itakuwa unakwenda kwenye matukio mbalimbali nakupa nafasi unatia neno huku akina analyse wakikodoa macho Kama wameingiwa na mchanga machoni.
 
Shindeni Yanga ili turudishe pesa zetu ambazo tumewekeza
 
Back
Top Bottom