Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Umeona hiyo kidogo tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona hiyo kidogo tuu
Kwahiyo Tabora ni bora kuliko ile timu mbovu?Walifikaje hapo?
Wanaweka na kuondoaNikajua mimi tu.
Hiyo ndiyo ligi? Mmeulizwa swali rahisi tu ni mchezaji gani huyo mwenye shida huko FIFA, mnajiumauma tu. Hata nyie wenyewe hamumjui
Limitation kwenye niniHii limitation ya maneno wanayotutaka JF inatushinda kuleta update
Kwenye manenoLimitation kwenye nini
Hichi sasa kiherehere. Hutulii sehemu moja. Tunaongelea Tabora vs Yanga.Kwahiyo Tabora ni bora kuliko ile timu mbovu?
Kwenye comments au, wanataka maneno mangapi, fafanua kidogo mkuuKwenye maneno
Yai kwa yai
Kwani haya mashindano ya FA hayasimamiwi na sheria za FIFA? Hujui kama bingwa wa FA anawakilisha nchi kwenye mashindano ya CAF Confederation cup?Hiyo ndiyo ligi? Mmeulizwa swali rahisi tu ni mchezaji gani huyo mwenye shida huko FIFA, mnajiumauma tu. Hata nyie wenyewe hamumjui
Kwamba mchezaji akifungiwa na Fifa basi anaruhusiwa kucheza Kombe la FA ila ligi ndio haruhusiwi?Hiyo ndiyo ligi? Mmeulizwa swali rahisi tu ni mchezaji gani huyo mwenye shida huko FIFA, mnajiumauma tu. Hata nyie wenyewe hamumjui
Timu mbovu inashinda paka watu wawe pungufu
Kwenye comments waliweka limitation ya maneno 50. Kwa sasa naona wameshaondoaKwenye comments au, wanataka maneno mangapi, fafanua kidogo mkuu
Usinichoshe