FT: Yanga 5-0 Zalan (Agg 9-0) | Caf Champions League | Mkapa Stadium | 17-09-2022

FT: Yanga 5-0 Zalan (Agg 9-0) | Caf Champions League | Mkapa Stadium | 17-09-2022

Yanga kuingia makundi itakua ni story ya mjini ila Simba kuingia makundi ni kawaida!
Wewe huingii makundi, timu huna. Yaani hizi mechi zenu za KMC na ile ya Mbeya ndio nimewaona vizuri timu huna,wewe zungumzia historia mimi na zungumzia current forms ya timu.
 
Hatimae umeenda raundi ya pili!
We endelea kuenjoy ila kama unasubiri mzunguko Yanga aharibu sahau.

Ushauri wangu tu msimu huu Simba Queens ndio watakao wapa raha,endeleeni kuwa support kwani washawapa CECAFA, ila huku jiandae na maumivu kwani Yanga tutadominate tutakavyo.
 
Champion league ina amuliwa kwa timu kuchukua ubingwa

Timu yao imechukua ubingwa ila ni ligi mbovu, kwanza imeanza around 2014 pili hata upinzani wao uwanjani unaweza kuona ni kiasi gani ni low

Angalia tu kwenye mpira wa mwisho wa moloko ambapo cross yake imeenda juu ya lango. Alikuwa amezungukwa na wachezaji watatu lakini wote wanamuangalia, hakuna aliyemfata kumzuia mpala jamaa anautuliza na kupiga shuti
Tatizo sio ubovu wa Zalan bali tatizo ni Mayele maana hata nyie aliwatundika inamana nanyi wabovu pia
 
Back
Top Bottom