Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Ila uliona mtiti si mliongeza moja tuu?Nyie si mlicheza na YANGA na MKACHAPWA NAO.??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila uliona mtiti si mliongeza moja tuu?Nyie si mlicheza na YANGA na MKACHAPWA NAO.??
Unaifananisha na zalan kasome historia zao vzr.Juzi tu hapo mmepapaswa na team kutoka Djibouti
Wewe huingii makundi, timu huna. Yaani hizi mechi zenu za KMC na ile ya Mbeya ndio nimewaona vizuri timu huna,wewe zungumzia historia mimi na zungumzia current forms ya timu.Yanga kuingia makundi itakua ni story ya mjini ila Simba kuingia makundi ni kawaida!
Chezeni nao friend match muone cha MotoUnaifananisha na zalan kasome historia zao vzr.
Safari yenu inaishia Angola tunza hii commentYanga kuingia makundi itakua ni story ya mjini ila Simba kuingia makundi ni kawaida!
Ndio itakua ni failure kwa Simba ila Yanga kutoingia makundi itakua ni kawaida!Safari yenu inaishia Angola tunza hii comment
Hatimae umeenda raundi ya pili!Wewe huingii makundi, timu huna. Yaani hizi mechi zenu za KMC na ile ya Mbeya ndio nimewaona vizuri timu huna,wewe zungumzia historia mimi na zungumzia current forms ya timu.
We endelea kuenjoy ila kama unasubiri mzunguko Yanga aharibu sahau.Hatimae umeenda raundi ya pili!
Sisi ndiyo Yangaaa, thank you mtani, kila rakheri kwenu pia hiyo keshoNakubali hongereni financial services 🙌
Nakubali hongereni financial services
Msijidai sana, ile timu sio kipimo sahihiSisi ndiyo Yangaaa, thank you mtani, kila rakheri kwenu pia hiyo kesho
Hahaa haya bana ngoja timu sahihi tuwaone kesho, Simba mna sifa sana nyie😂Msijidai sana, ile timu sio kipimo sahihi
Ila kwa kweli Mayele dahHahaa haya bana ngoja timu sahihi tuwaone kesho, Simba mna sifa sana nyie😂
Uache umbumbumbu kwanza weweJamaa ach ujinga wa kulinganisha tajiri namba Tanzania na tajiri namba moja Mrekani
Hata yakiisha huko lakini ndo hivyo msiyempenda ndo kashafunga hattrick tayariHeee unaota eeeeh!!!
Hya magoli hata ufunge 100 yanaishia hukuhuku
Tatizo sio ubovu wa Zalan bali tatizo ni Mayele maana hata nyie aliwatundika inamana nanyi wabovu piaChampion league ina amuliwa kwa timu kuchukua ubingwa
Timu yao imechukua ubingwa ila ni ligi mbovu, kwanza imeanza around 2014 pili hata upinzani wao uwanjani unaweza kuona ni kiasi gani ni low
Angalia tu kwenye mpira wa mwisho wa moloko ambapo cross yake imeenda juu ya lango. Alikuwa amezungukwa na wachezaji watatu lakini wote wanamuangalia, hakuna aliyemfata kumzuia mpala jamaa anautuliza na kupiga shuti
Lakini mbona mchezaji aliyewafunga Zalan hattrick hata nyie aliwafunga pia ilikuwa tarehe 13 AuguustHivi hii Zalan ni timu kweli au ni vivuli vinacheza jamani
Na ikitokea wajapigwa utawasikia... Yetu macho na muda ni mwalimuHahaa haya bana ngoja timu sahihi tuwaone kesho, Simba mna sifa sana nyie[emoji23]
Yani umetiwa halafu unasema kanitia viwili tu!!Ila uliona mtiti si mliongeza moja tuu?
Hao mbumbumbu wakiwa wengi ni wekundu wa Msimbazi, Sasa akiwa mmoja unajuwa anaitwaje?Tatizo sio ubovu wa Zalan bali tatizo ni Mayele maana hata nyie aliwatundika inamana nanyi wabovu pia