FT: Yanga S.C 0-0 Rivers United | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium | 30.04.2023. Yanga yatinga Nusu Fainali

Halafu hatujawahi kusikia mtu akiwajibishwa kwa haya madudu!

Yaani uwanja unaokusanya mamilioni ya shilingi kwenye mechi za ligi kuu, na na zile za Kimataifa; inakosa hela ya kununua standby generator!!! Hovyo kabisa.
Juzi mechi ya Derby wamechukua pesa za nini kama uwanja tu kufanya marekebisho inakuwa shida hivi
 
Hizi nilishasema ni fitna ili Simba atolewe kwenye Super League kwa kukosa sifa za kutokuwa na uwanja wa nyumbani.
simba si ana uwanja wake mo arena
atacheza huko hii ni hujuma kwa yanga
 
Bora hata wangejichezea zao saa 10 jioni. Muda huu watu wangekuwa wameshafunga mahesabu. This is too much.
Tunalazimisha tuonekane tuna uwanja bora, matokeo yake wanaondoka na kumbukumbu ya taa kuzima..

Kwa pesa wanazokusanya TFF na serikali, huu uwanja ulitakiwa utumie solar ya uhakika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…