FT: Yanga S.C 0-0 Rivers United | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium | 30.04.2023. Yanga yatinga Nusu Fainali

Wizara ya nishati,
Tanesco,
TFF,
Meneja wa uwanja.

Nani anahusika na huu uhuni? mnasababisha ladha ya mpira kushuka, mnalitia aibu taifa lionekane ni shithole.

Mnajua ni nchi ngapi zinaangalia mpira kupitia runinga?

Mnajua namna heshima na kuaminiwa kwa taifa kutakavyopungua, kwa matatizo yenu ya kipuuzi?

Mnajua namna mnatakavyo haribu saikolojia za wachezaji kwa kusimama mpira Kwa dakika zote hizo?

Halafu kwanini msijiuzuru kwa kulinda heshima na hadhi zenu.

Maanina nyie, kwani lazima muwe viongozi ?

Jack Daniel
 
Clement Mzize hana kabisa utulivu. Katika nafasi 5, anaweza asipate hata moja!! Akifanikiwa kuwa na utulivu, atakuwa ni mshambuliaji hatari sana nchini.
Amekuwa hivyo leo hii au siku zote?
 
Huyu sijui wa nani vile waziri wa michezo wa sasa alikuwepo siyo?
 
Asec mimosas anaongoza 1-0, Malumo Gallant pia anaongoza 1-0, mechi zote ni mapumziko
 
Simba tumetoka kuiheshimisha nchi, hawa uto wanaharibu kazi yote iliyofanyika kule Morocco.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…