Naunga mkono hoja ukiangalia mpira wa leo ndo unaona kuna levo tofauti kati ya Champions league na shirikishoKusema ukweli Vilabu vinavyocheza shirikisho vina uwezo mdogo sana wa kusakata kabumbu
Mpaka dk hii ya 39 Yanga ndo wameonyesha mpira wenye madhara langoni kwa Rivers. Rivers hawajaonyesha madhara.Yanga mnachezewa mpira mwingi sana
Ni jambo la kawaida tu, hata ulaya taa Huwa zinazima na baada ya muda kabumbu linaendeleaMpira kusimamishwa zaid ya dakika 20 hi ni kashfa kwa taifa na club ya yanga na kama malalamiko yakifikishwa caf na river wakitoa hoja ambazo zitaonekana zinamashiko kwetu inaweza kutuumiza
Wizara husika zinashindwa kufanyia marekebisho hili tatizo za taa za iwanjaniii? Maana hili tatizo si mara ya kwanza ama ya pili ama ya tatu. Sasa hili ni tabu kwa ustawi wa taifa na mchezo wetu.
Si Yanga si Rivers hamna kituKusema ukweli Vilabu vinavyocheza shirikisho vina uwezo mdogo sana wa kusakata kabumbu
Hakika mkuuNaunga mkono hoja ukiangalia mpira wa leo ndo unaona kuna levo tofauti kati ya Champions league na shirikisho
Madhara ndio magoli au ndio Yale Yale ya kufa kiume?Mpaka dk hii ya 39 Yanga ndo wameonyesha mpira wenye madhar kwa Rivers. Rivers hawajaonyesha madhara.
We anagalia team zilizocheza Robo fainali ya klabu bingwa haf compare na game ya leoHii kweli shirikisho wanaruka ruka tu .
Mipira ina njia zake mzee, kile kipindi mnamtupia sifa za kumfananisha na Haaland wanaojua mpira walikaa kimya hawakua wajinga.Huyo mnaemuita Clement sijui Abdul maana kabadili dini hana akili ya Mpira ila anajua kucheza
KabisaSi Yanga si Rivers hamna kitu
Yanga wanaongoza 2. Rivers wangekuwa timu nzuri walipaswa kuonyesha uzuri wao ambao wewe unauita kufa kiume.Madhara ndio magoli au ndio Yale Yale ya kufa kiume?
Kwahiyo wewe unaujua mpira siyo,?Mipira ina njia zake mzee, kile kipindi mnamtupia sifa za kumfananisha na Haaland wanaojua mpira walikaa kimya hawakua wajinga.
Sikuziangalia hizo mechiAliwafungaje Asec mimosa na Widad ambae amekutoa wewe jana
Tangu atamani futari , Kwisha habari yakemzize anatoa pasi kwa adui hahahah
Unapata wapi ujasiri wa kumkosoa mchezaji wa nusu fainali ya caf? Kaa kimyaMipira ina njia zake mzee, kile kipindi mnamtupia sifa za kumfananisha na Haaland wanaojua mpira walikaa kimya hawakua wajinga.
Wa Misumari..!Toa Mzize ni mzigo
Hapa aliitwa HaalandKwahiyo wewe unaujua mpira siyo,?
Wote hamna kituYanga wanaongoza 2. Rivers wangekuwa timu nzuri walipaswa kuonyesha uzuri wao ambao wewe unauita kufa kiume.