Sisis level zetu mnazimanyaNyie kachezeni na majimaji huko, kimataifa sio size yenu[emoji706][emoji706]
Ni kweli ila hawa jamaa wamehamishia nguvu zote huku confederation, itakuwa mechi tamu sn na YangaMalumo inashika mkia kwnye ligi kuu ya PSL
MKUU TUNZA HII:
Nabi ndie kocha wa baadae wa taifa stars so anaanza kuiandaa timu yake mapema!!
Wamebana mapajaTuwapige hata kimoko basi jamani daaah
Level zipi[emoji23][emoji23] kama timu yako haipo nusu fainali caf kaa[emoji850][emoji850]Sisis level zetu mnazimanya
Hapo walipigwa hakuna mchezaji wa bei hiyoChezaji la million 400 refa kaliambia lishushe bukta liache kukaa uchi
Sent using Jamii Forums mobile app
Game itakuwa tamu sn mkuu.Yanga aongeze mbinu sn maana jamaa wapo serious snHivi nyie mnaichukuliaje Yanga
Taa ndo zumekuja juzi sio mimi. Mi ni born hiahia, sikuja mjini kwa hisani ya elimu ya chuo kikuu.itakuwa umekuja mjini juzi mechi ya simba umeme ujawah zima
Mtakoma kwa kelele zetu bora mngetuombea tubaki ila kwa saaa ndo mtakomaa..sisi tutawekaraaaaLevel zipi[emoji23][emoji23] kama timu yako haipo nusu fainali caf kaa[emoji850][emoji850]
Bana hata mashavu tu,Bana map.mbu timu ipate goli, Mie vile sina tu, ningeyabana Hadi yangekuwa mekundu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yanga hii ya Kimataifa nyie wa matopeni nendeni mkacheze redeYanga hii au nyingine?
Bana kicssmi tu hamna namnaBana map.mbu timu ipate goli, Mie vile sina tu, ningeyabana Hadi yangekuwa mekundu🤣🤣🤣🤣