FT: Yanga S.C 0-0 Rivers United | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium | 30.04.2023. Yanga yatinga Nusu Fainali

Rangi ya Simba umewakosea sana,inawakilisha mavazi ya kilinge Cha Mshana Jr na waganda wote Duniani
 
Yanga anakwenda kucheza fainali za shirikisho Hilo halina mjadala period
 
Sahih mashindano as if Kuna malipo wanapata
 
Kuna mwamba huyo kutoka Naija ana utege hatari, mashuti yake ya ndoige. Mkitolewa leo msifanye vurugu maana mlishaahidi kisasi ni haki. Mtatuletea shida tunaojiandaa kwa super league.
 
Kuna mwamba huyo kutoka Naija ana utege hatari, mashuti yake ya ndoige. Mkitolewa leo msifanye vurugu maana mlishaahidi kisasi ni haki. Mtatuletea shida tunaojiandaa kwa super league.
Wewe muda huu ulitakiwa uwe katika mapokezi ya timu yenu huku kwenye mashindano ya CAF umefuata nini? Kuna timu yako inayoshiriki? Nyie mkae muangaike na Azam Federation na ligi kuu. Huku kwenye CAF msubirie super league na msimu mpya wa CAF mwezi wa 8
 
Mnahitaji baraka za Simba ili mfike huko maana ndiyo timu pekee ya TZ imewahi kukanyaga anga hizo mnazoota kufika. Tambo zenu zitawaponza.
 
Mnahitaji baraka za Simba ili mfike huko maana ndiyo timu pekee ya TZ imewahi kukanyaga anga hizo mnazoota kufika. Tambo zenu zitawaponza.
Kwani mpaka hapo walipofikia Simba imeshatoa baraka gani? Hizi tambo mlizianzia nyie wenyewe mliyojiona watoto wa CAF. Saivi mmeamua kushangilia timu ipi ya CAF baada ya kutolewa?
 
Kwani mpaka hapo walipofikia Simba imeshatoa baraka gani? Hizi tambo mlizianzia nyie wenyewe mliyojiona watoto wa CAF. Saivi mmeamua kushangilia timu ipi ya CAF baada ya kutolewa?
Hao madunduka wasikuchanganye so tunawatambua kama wafa maji Tu.
NA kamwe hawatoacha kutapatapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…