FT: Yanga S.C 0-0 Rivers United | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium | 30.04.2023. Yanga yatinga Nusu Fainali

FT: Yanga S.C 0-0 Rivers United | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium | 30.04.2023. Yanga yatinga Nusu Fainali

Niseme tu wazi nakemea na inaudhi sana mechi ya SAA moja usiku mtu anaanzisha thread mid night, huu ni ujinga kusema ukweli.

Maxence Melo lipokee hili na lifanyiwe kazi ikiwezekana game Kubwa thread ya Live iwe ni jukumu la moderator na thread ya porojo kama hii iachwe kwa ajili ya porojo za mashabiki.

Maana thread ya hivi muda wa mechi ukifika unakuta page kibao hujui uanzie wapi.

Hii tabia inaota mizizi kwenye hili jukwaa ni vizuri ikatafutiwa ufumbuzi, mpaka mtu anaweza kudhani kuna malipo yanatolewa kwa atakayewahi kufunguwa thread ya mechi, huu ni ujinga.
Nawewe ni dokta?? [emoji706][emoji706][emoji706]
 
Utopolo leo wana kazi nyepesi ya kumsukuma mlevi kwenye mteremko....

Kila laheri madimbwini fc...hii masika ni yenu....🐸 🐸 🐸
 
Vitimu dhaifu vimejazana huko mnashangilia kama watoto, hamuwezi kujilinganisha na Simba Sc aliekwenda kwa bingwa mtetezi wa kombe la wakubwa akaondolewa kwa penalti, msijitoe akili kama watoto wadogo..

Nawasubiri kwenye final ya ASFC niwakande tena nyie watoto watamu sana[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Mechi yenu mnacheza lini tena katika hayo mashindano?
 
Back
Top Bottom