FT: Yanga S.C 0-0 Rivers United | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium | 30.04.2023. Yanga yatinga Nusu Fainali

FT: Yanga S.C 0-0 Rivers United | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium | 30.04.2023. Yanga yatinga Nusu Fainali

Screenshot_20230430_195811_Gallery.jpg
 
Rivers wanapata freekick...

Mpira unapigwa na wanafanya madhambi ndani ya 18 ya Yanga...
 
Simba iliingia fainali ya kombe la shirikisho mwaka 1993, iweje useme kwa mara ya kwanza?
Simba alicheza fainali ya CAF cup na wala haikuwa kombe la shirikisho.
Kombe la shirikisho lilikuwa linaitwa Africa cup winner's cup ambapo mwaka 1993 bingwa alikuwa Al Ahly. Na bingwa wa klabu bingwa ambapo kwa kipindi hiko ilikuwa inaitwa Africa cup of champions club akawa ni Zamalek. Kwenye Caf super cup ambapo bingwa wa klabu bingwa anacheza na bingwa wa kombe la shirikisho, ikapigwa kati ya Al Ahly vs Zamalek kisha Zamalek akabeba kombe la CAF super cup.
IMG_20230426_074800.jpg
 
Yanga wanatakiwa wafunge goli za chapuchapu ili kama Kuna lolote litakalotokea wawe na faida
 
Back
Top Bottom