FT: Yanga S.C 0-0 Rivers United | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium | 30.04.2023. Yanga yatinga Nusu Fainali

FT: Yanga S.C 0-0 Rivers United | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium | 30.04.2023. Yanga yatinga Nusu Fainali

Kwa timu hii ya hawa wapopo tayari nyie mmeshaingia nusu fainali tembeeni vifua mberee
 
Hivi huko Yanga hakuna mfugaji mwingine kiasi kwamba Fiston Amekabwa Bado watu wanampogia Mpira hivyo hivyo? Huu kama sio ujinga ni nini
 
Hichi mnachokiona hapa ni nini? Hii timu yetu Leo imelogwa??
754E4911-733F-4BD2-901C-F36491C5B05B.jpeg
 
Kwahiyo Ki uchawi wake upo kwenye kukunja hilo pensi...
Hamna kitu leoo
 
Pira Mihogo..!
Pira Papatu Papatu...!

Dah, Kweli hii ni ndo ndo ndo mdhamini Dr Mwaka...! Akimaliza kubishana na Wake zake ndo aje Afadhiri.!
 
Duu yani group la vibonde..kibonde mwenye bahati leo anashindwa kubahatisha
 
Back
Top Bottom