Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Kama pira lipo tena la kiwango na linatembea,presha ya nini,!!?Hawana vifua vya kuhimili jaka moyo
Haya nyie mnaokuja mapema kwenye nyuzi zenu imewaongezea nini kwenye kupata point!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama pira lipo tena la kiwango na linatembea,presha ya nini,!!?Hawana vifua vya kuhimili jaka moyo
Kuna mdau mwana Simba kasema kuwa Real Bamako ni vibondeYanga Leo ndio ime perform kuliko game zote, Hawa Bamako walikuwa hawana cha kupoteza ndio maana uliona wako very aggresivve mwanzo mwisho, kwaio Yanga walikuwa na tahadhari kubwa yakutoruhusu goli at the same time wafungwe wao.Tatizo mmezoea kuiona Yanga ikicheza na timu vibonde ila hawa Bamako ni real opponent
Jibu kuntu sanaKwasababu huwa tunakaa kutazama game na sio kupayukapayuka huku hujui hata kinachoendelea. Tunakuja Half time na Full time.
Dah hongera sana sana
AaahhahaRobot hizo mzee..
Kubalini yaisheKama pira lipo tena la kiwango na linatembea,presha ya nini,!!?
Haya nyie mnaokuja mapema kwenye nyuzi zenu imewaongezea nini kwenye kupata point!?
Ulicho mjibu ndio nilichotaka kumjibu.Kwasababu huwa tunakaa kutazama game na sio kupayukapayuka huku hujui hata kinachoendelea. Tunakuja Half time na Full time.
Ok. Table niliangalia wakati bado inakuwa updated. Haya Yanga kufeni na ndugu zake Nabi.Gongawazi fainal yao ni vs Us Monstair March 19
Wakishinda wanaenda Robo fainal
Madunduka fainal yao ni vs Horoya March 18 Wakishinda wanaenda Robo fainal
Kwa maana iyo kurwa na doto wapo mguu pande mguu mmoja sawa
Us Monasr anakufa kifo kibaya sana week ijayo.Masahihisho. Table niliyoangalia ilikuwa bado haijawa updated. Haya Yanga kufeni na ndugu zake Nabi.
KawasaidieItakuwa hivi,Mazembe atampiga Bamako atakuwa na points 6,baada ya hapo atarudi home kumsubiri Yanga ambaye atakuwa ana points 7,maana yanga atapigwa na Monastr game ijayo.
Hapo Mazembe atafia uwanjani pake ili afikishe points 9.
Amini usiamini
Alikuwa sahihi kama watakufa na ndugu zake Nabi. Niliangalia table wakati ndiyo inakuwa updated.Yule bwana mdogo ni mhamasishaji
Ukichukua assist za CAF pamoja na magoli ukajumlisha na aliyopata NBC, ukayachukua na magoli ya Kisinda, ukachukua na magoli ya Morrison ukayaunganisha.Assists 02.
Goal 01.
Leta porojo nyingine.
Asantee[emoji617][emoji617][emoji617]Hongereni wananchi [emoji123]
Weka hapa CV za Bamako FC na Vipers mechi 7 kabla hawajacheza na Makolokolo na Yanga tuone kama kweli wewe si Mbumbumbu [emoji28]Hata leo hilo mlilocheza nalo ni puto sema limewapasukia hakuna kitu hapo..vipers mmesahau waliwaharibia siku yenu??
Jana mi pale vip B nimeshangilia sana na marafiki zangu wa Simba,hayo si ni maombi ufanikiwe 😀...........??? Hizi keyboard tunajifurahisha tu japo mkifanya vizuri mnakelele sana, hope mkuu leo umeinjoi japo leo nilikuwa offline kabisa hata mechi yetu sijaiona kabisaFo shuaaaa vile..muda si mrf nalog off
Ila kuna watu kama Chukwu emeka huwa hatuachi na Bantu Lady yani wanatuombeaga mabaya laivu laivu...