FT: Yanga S.C 2-0 As Real Bamako | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium | 08.03.2023

FT: Yanga S.C 2-0 As Real Bamako | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium | 08.03.2023

Yanga Leo ndio ime perform kuliko game zote, Hawa Bamako walikuwa hawana cha kupoteza ndio maana uliona wako very aggresivve mwanzo mwisho, kwaio Yanga walikuwa na tahadhari kubwa yakutoruhusu goli at the same time wafungwe wao.Tatizo mmezoea kuiona Yanga ikicheza na timu vibonde ila hawa Bamako ni real opponent
Kuna mdau mwana Simba kasema kuwa Real Bamako ni vibonde
 
Gongawazi fainal yao ni vs Us Monstair March 19
Wakishinda wanaenda Robo fainal

Madunduka fainal yao ni vs Horoya March 18 Wakishinda wanaenda Robo fainal

Kwa maana iyo kurwa na doto wapo mguu pande mguu mmoja sawa
Ok. Table niliangalia wakati bado inakuwa updated. Haya Yanga kufeni na ndugu zake Nabi.
 
Assists 02.

Goal 01.

Leta porojo nyingine.
Ukichukua assist za CAF pamoja na magoli ukajumlisha na aliyopata NBC, ukayachukua na magoli ya Kisinda, ukachukua na magoli ya Morrison ukayaunganisha.

Ukayachukua kwenda kumfananisha na Saido utakuta wamemzidi Saido bao 2 halafu Assist wote hawamfikii
 
Kuna uwezekano mkubwa timu mbili za TZ kuingia robo fainali kwa mkupuo kwa mara ya kwanza.
 
Fo shuaaaa vile..muda si mrf nalog off
Ila kuna watu kama Chukwu emeka huwa hatuachi na Bantu Lady yani wanatuombeaga mabaya laivu laivu...
Jana mi pale vip B nimeshangilia sana na marafiki zangu wa Simba,hayo si ni maombi ufanikiwe 😀...........??? Hizi keyboard tunajifurahisha tu japo mkifanya vizuri mnakelele sana, hope mkuu leo umeinjoi japo leo nilikuwa offline kabisa hata mechi yetu sijaiona kabisa
 
Back
Top Bottom