FT: Yanga S.C 2-0 As Real Bamako | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium | 08.03.2023

FT: Yanga S.C 2-0 As Real Bamako | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium | 08.03.2023

Msije mkawamwagia tena maji ya maiti, CAF wanapenda sana bifu za namna hii. Safari ijayo mnapangiwa timu zote za huko ili muende mara 3.
Simba ndio munatabia za kishirikina.
Ni hapa juzi tu mulirudi kinyume nyume na mukachezea kichapo.
Week ijayo mwarabu anapigwa kama ngoma ya mkinda.
 
Duh nimeangalia group table ya Yanga, kumbe hili group linaenda hadi dakika ya mwisho aisee [emoji1787][emoji23][emoji1787]

Sasa yule msemaji wao alikuwa anaongea uharo gani juzi?

Masahihisho: Yanga kufeni na ndugu zake Nabi ila msituulie tu ndugu zetu katika kutafuta huo ushindi maana.....
Mechi inayofuata Yanga inacheza nyumbani dhidi ya Monastir, Yanga akishinda hiyo mechi basi kamaliza kazi hata mechi yake ya mwisho akifungwa magoli 20. Saaa sijui unaposema linaenda hadi mwisho ulikuwa unawaza yapi?
 
Mechi inayofuata Yanga inacheza nyumbani dhidi ya Monastir, Yanga akishinda hiyo mechi basi kamaliza kazi hata mechi yake ya mwisho akifungwa magoli 20. Saaa sijui unaposema linaenda hadi mwisho ulikuwa unawaza yapi?
Soma mpaka mwisho hiyo post uliyoninukuhu. Nilisoma table kabla hawajamaliza kuiupdate kwa hiyo kuna namba hazikuwa zimekaa sawa.

Mna bahati Monastir anakuja huku ameshapita kwa hiyo hatakuja na moto sana. Mnahitaji ushindi maana kule Congo lolote linaweza kutokea.
 
Naona hili kombe lisipoenda uarabuni basi litakuja Tanzania. Yanga itatuheshimisha safari hii
Ushindani wenu na Simba mnawafanya muwazie mbali mapema. Siyo mbaya kulenga pakubwa lakini. Simba wenyewe malengo safari hii ni nusu fainali, yaani hatua moja mbele ya inapogotaga. Sasa nyie mnawaza kuchukua ubingwa, hayaa kila mtu na malengo yake!
 
Back
Top Bottom