black angel
JF-Expert Member
- Jan 5, 2022
- 548
- 773
hata sisi tunajua ni udharirishajiBado nayatathminisha Haya Mabao yote...Lkn Lile Bao La Geita linaongoza Kwa Ukatili Na Udharirishaji Kwa Golikipa...!
Unatumia mkuu supplier aliye karibu akuleteeIle mikia iko wapo imefyata au ineenda kuuza ngada 😂😂😂
Kama unaona timu yako haijawahi pigwa 5 na mnyama nyoosha kidole juuKama unaona wanaonewa leta timu yako.
Limekuwa tawi letu mkuu?? We huoni mpira mwiiiiiiiingi huu paka unamwagika??? Tutaomba mechi ya marudiano na Raja tukawasaidieNaona vyura wanaangamiza tawi lao la mgodini
Sema popote unapota niwatoe out aunt 😅😅😅Mwenye Avatar ya Mo njoo hapa mambo ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kama timu yako haijawahi kugongwa mara tatu mfululizo nyosha kidole juu.Kama unaona timu yako haijawahi pigwa 5 na mnyama nyoosha kidole juu
Kwa mbiindeMidomo imeshonwaaa,Sisi ndio yanga buana[emoji3][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172]
Tuunde tumeLigi ya Tanzania inatakiwa kuchunguzwa
Hapa ndiyo Nakupendaga tu Numbie wetu, hunaga choyo mwaya..!!❤️❤️All the Best Yanga
Peleka mapendekezo TAKUKURU.Ligi ya Tanzania inatakiwa kuchunguzwa
Bado upo?Leo Gongowazi huenda akaangukia pua, endapo au kama Geita Gold watakuwa Smart.