FT: Yanga S.C 3-1 Geita Gold | NBC Premier League | Chamazi Complex | 12.03.2023

FT: Yanga S.C 3-1 Geita Gold | NBC Premier League | Chamazi Complex | 12.03.2023

Wewe unayebwabwaja hapa na njaa na stress zako mara yako ya mwisho kumfunga Yanga kwenye Ligi ni lini zaidi ya kushangilia sare?

Ushindwe wewe utegemee wengine waweze ili wakusaidie [emoji1787][emoji1787] . Pole kwa maumivu. Na sio tu Geita hakuna kondoo yoyote wa kutuzuia Ligi kuu, leta timu yako kama unaona wengine wanaonewa.

Na bado tukikutana nakukanda vilevile. Mbwa mwenye mikia miwili wewe.
Aisee hiz fake I'd ni shida .
Me nilitegemea utuambie Simba kafungwa na yanga Zaid et ulishangilia sare ,ivi game iliyopita Nan alitaman mpira uishe haraka kati ya Simba na yanga .
Nenda kitakwimu acha kelele za kijinga .
Ajab unadai nina njaa na stress ukute hapo ulipo unagongea hata pakulala ,kula yenyew ni shida.
Machoko kama nyie I'd fake hiz zinawasitir sana .
Kungekua na real id hapa ungekua na ujasir wa kuropoka huo upuuz .
The way u sound it's obvious ni punk fulan lenye njaa Kali na maisha ya kuunga unga ,smart people na mwenye mafanikio hawez ku sound km wewe .
Zaid kalia huu [emoji867]
We talk about football we unaleta shida zako hapa ,ajabu ukute hata kadi ya timu huna Zaid ya kuwa mshangiliaj na kelele kibao huku huna mbele wa nyuma .
Onyesha hata kadi ya uanachama na mimi nikuonyeshe tuone Nan ana njaa na stress kati ya wewe na mimi.
Maisha yakiwapiga mnakimbilia kuattack watu na kukenuakenua mineno hapa jf .
 
naona kipindi cha kwanza Geita walijisahau kama wamepewa bahasha wakawapelekea moto Yanga.
 
hivi anaye hesabu shot on/off target ni mtu ama kompyuta

maana tumefika golini kwa geita mara 200 nasubiri kuona takwimu hapa
 
Kama naona makolo wanavyokereketwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji174]

Yanga tupelekwe EPL tu[emoji91][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169]
 
Aisee hiz fake I'd ni shida .
Me nilitegemea utuambie Simba kafungwa na yanga Zaid et ulishangilia sare ,ivi game iliyopita Nan alitaman mpira uishe haraka kati ya Simba na yanga .
Nenda kitakwimu acha kelele za kijinga .
Ajab unadai nina njaa na stress ukute hapo ulipo unagongea hata pakulala ,kula yenyew ni shida.
Machoko kama nyie I'd fake hiz zinawasitir sana .
Kungekua na real id hapa ungekua na ujasir wa kuropoka huo upuuz .
The way u sound it's obvious ni punk fulan lenye njaa Kali na maisha ya kuunga unga ,smart people na mwenye mafanikio hawez ku sound km wewe .
Zaid kalia huu [emoji867]
We talk about football we unaleta shida zako hapa ,ajabu ukute hata kadi ya timu huna Zaid ya kuwa mshangiliaj na kelele kibao huku huna mbele wa nyuma .
Onyesha hata kadi ya uanachama na mimi nikuonyeshe tuone Nan ana njaa na stress kati ya wewe na mimi.
Maisha yakiwapiga mnakimbilia kuattack watu na kukenuakenua mineno hapa jf .
Kunywa maji mengiiiiii. Piga diclopar kisha lala. I am sorry for the pain, we are Yanga. Na unavyokosa raha ndo' raha yangu/ yetu.

Kama unaumia sana, achana na ligi ya Tanzania kashabikie huko unakohisi utapata raha maana kwa hapa Tanzania utaumwa sana.

Alafu umerukwa na akili mpaka unaanza kuongea kuhusu fake ID, sasa mimi na wewe nani mwenye fake ID. I go by the name of Steve Mollel, vipi wewe? Unaitwa mbwa?
 
Back
Top Bottom