Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Poleni na msiba mzito huu... Mnazika hapa au mnasafirisha?Friends of Geita ndio tunawasili msibani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poleni na msiba mzito huu... Mnazika hapa au mnasafirisha?Friends of Geita ndio tunawasili msibani
Na onyo juuHalftime wamepewa fungu lao [emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee hiz fake I'd ni shida .Wewe unayebwabwaja hapa na njaa na stress zako mara yako ya mwisho kumfunga Yanga kwenye Ligi ni lini zaidi ya kushangilia sare?
Ushindwe wewe utegemee wengine waweze ili wakusaidie [emoji1787][emoji1787] . Pole kwa maumivu. Na sio tu Geita hakuna kondoo yoyote wa kutuzuia Ligi kuu, leta timu yako kama unaona wengine wanaonewa.
Na bado tukikutana nakukanda vilevile. Mbwa mwenye mikia miwili wewe.
3 nyingi mzee Kula chapati ndio utajuaa[emoji23][emoji23][emoji23]Kwa mbiinde
Bado upo?Hawana Team Pale Lile Ni Genge!!
3 hazinitoshi, nipikie mtani3 nyingi mzee Kula chapati ndio utajuaa[emoji23][emoji23][emoji23]
naona kipindi cha kwanza Geita walijisahau kama wamepewa bahasha wakawapelekea moto Yanga.
Ankol mwenyewe aka DJ Mzuzu 😂😂😂😂 tukishajiandaa tutakujulisha Ankol. Asanteee leo Yanga rahaaaSema popote unapota niwatoe out aunt 😅😅😅
Hongera mtani kwa comebackAnkol mwenyewe aka DJ Mzuzu 😂😂😂😂 tukishajiandaa tutakujulisha Ankol. Asanteee leo Yanga rahaaa
Oyaah hivi ni mwezi wa nne tuu hapo sio mbalii, nasemajeee [emoji172][emoji172][emoji172]3 hazinitoshi, nipikie mtani
Bado upo?UTO anakufa
habari ya Mtibwa inatoka wapi hapa tuaangalia mechi ya mchongo.Na mtibwa jana bahasha pia au?
Asante sana mtani, hatukuwa na shaka kabisa. Tumpige Mazembe 3, tumshindwe mchimba dhahabu wa kwetu?Hongera mtani kwa comeback
Kunywa maji mengiiiiii. Piga diclopar kisha lala. I am sorry for the pain, we are Yanga. Na unavyokosa raha ndo' raha yangu/ yetu.Aisee hiz fake I'd ni shida .
Me nilitegemea utuambie Simba kafungwa na yanga Zaid et ulishangilia sare ,ivi game iliyopita Nan alitaman mpira uishe haraka kati ya Simba na yanga .
Nenda kitakwimu acha kelele za kijinga .
Ajab unadai nina njaa na stress ukute hapo ulipo unagongea hata pakulala ,kula yenyew ni shida.
Machoko kama nyie I'd fake hiz zinawasitir sana .
Kungekua na real id hapa ungekua na ujasir wa kuropoka huo upuuz .
The way u sound it's obvious ni punk fulan lenye njaa Kali na maisha ya kuunga unga ,smart people na mwenye mafanikio hawez ku sound km wewe .
Zaid kalia huu [emoji867]
We talk about football we unaleta shida zako hapa ,ajabu ukute hata kadi ya timu huna Zaid ya kuwa mshangiliaj na kelele kibao huku huna mbele wa nyuma .
Onyesha hata kadi ya uanachama na mimi nikuonyeshe tuone Nan ana njaa na stress kati ya wewe na mimi.
Maisha yakiwapiga mnakimbilia kuattack watu na kukenuakenua mineno hapa jf .