FT: Yanga S.C 3-1 Geita Gold | NBC Premier League | Chamazi Complex | 12.03.2023

FT: Yanga S.C 3-1 Geita Gold | NBC Premier League | Chamazi Complex | 12.03.2023

Kunywa maji mengiiiiii. Piga diclopar kisha lala. I am sorry for the pain, we are Yanga. Na unavyokosa raha ndo' raha yangu/ yetu.

Kama unaumia sana, achana na ligi ya Tanzania kashabikie huko unakohisi utapata raha maana kwa hapa Tanzania utaumwa sana.

Alafu umerukwa na akili mpaka unaanza kuongea kuhusu fake ID, sasa mimi na wewe nani mwenye fake ID. I go by the name of Steve Mollel, vipi wewe? Unaitwa mbwa?
Akijibu hii nitag mzee Bigi
 
Aisee hiz fake I'd ni shida .
Me nilitegemea utuambie Simba kafungwa na yanga Zaid et ulishangilia sare ,ivi game iliyopita Nan alitaman mpira uishe haraka kati ya Simba na yanga .
Nenda kitakwimu acha kelele za kijinga .
Ajab unadai nina njaa na stress ukute hapo ulipo unagongea hata pakulala ,kula yenyew ni shida.
Machoko kama nyie I'd fake hiz zinawasitir sana .
Kungekua na real id hapa ungekua na ujasir wa kuropoka huo upuuz .
The way u sound it's obvious ni punk fulan lenye njaa Kali na maisha ya kuunga unga ,smart people na mwenye mafanikio hawez ku sound km wewe .
Zaid kalia huu [emoji867]
We talk about football we unaleta shida zako hapa ,ajabu ukute hata kadi ya timu huna Zaid ya kuwa mshangiliaj na kelele kibao huku huna mbele wa nyuma .
Onyesha hata kadi ya uanachama na mimi nikuonyeshe tuone Nan ana njaa na stress kati ya wewe na mimi.
Maisha yakiwapiga mnakimbilia kuattack watu na kukenuakenua mineno hapa jf .
Mbona unaanza kutukana Sasa? punguza makasiriko huu ni mpira tu usikutoe utu.
Kunywa maji mengi upunguze makasiriko
 
Back
Top Bottom