utopolo og
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 575
- 1,575
Mabingwa watetezi wa Azam Federation Cup Young Africans leo majira ya saa Moja usiku watashuka katika Simba la Chamazi kumenyana na Tanzania Prisons katika hatua ya 16 bora ya michuano hiyo.
Ikumbukwe lazima mshindi apatikane Leo, Je ni Wananchi au wajelajela ndio wataotoka na kicheko?
Tuwe wote majibu yatapatikana baada ya Dak 90..
Dakika 90 zimekamilika Kwa Yanga kuibuka una ushindi wa magoli 4-1.
Magoli yote yakifungwa kipindi cha pili
Ikumbukwe lazima mshindi apatikane Leo, Je ni Wananchi au wajelajela ndio wataotoka na kicheko?
Tuwe wote majibu yatapatikana baada ya Dak 90..
Dakika 90 zimekamilika Kwa Yanga kuibuka una ushindi wa magoli 4-1.
Magoli yote yakifungwa kipindi cha pili