Huyu Okrah ndio nani? Au ndio yule aliyetoka Simba Sc?Leo refa kaona aibu kidogo!! Lakini Leo kulikuwa na tukio la mechi kusimama Okrah alipoumia lakini zimeongezwa dk 5 wakati juzi hakikuwa na tukio la mechi kusimama lakini ziliongezwa dk 7!! Jku waliibiwa pointing Yao 1 na wananchi!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] analazimisha furaha na venye hamna.Duh..! Ila Yanga poleni Sana..Maana kwa jinsi hii mnaonyesha Ukubwa mmeumisi na Mnaulilia Kweli Kweli...!
Yaani , Ukubwa hapa Barani Afrika Haujitangazii Wewe. Wapo Wenye Mpira wao Afrika Wanaitwa CAF.
Hawa CAF ndo huwa Wanasema Fulani ndio Mkubwa Namba moja Afrika, na Fulani ni Mdogo namba mfano 56 Afrika.
Hivyo Simba Pale Namba Saba kwa Ukubwa hajajitangazia.
Ushauri : usikate tamaa, Hizi ni Hatua za Ukuaji unapitia. Hata Giant Simba Afrika alizipitia,Siku moja Utakuwa Mkubwa Kama Simba na CAF ndo watasema.
So Relax....
Na matokeo ya mwisho ni yale yale kama mechi ilivyoanza na hata kama ingehairishwa
Hahaha. FT 0-0Refa anasubiri nini kumaliza mpira?
Anataka mpaka Yanga ifungwe?
Niliwaambia hawa kenge mapema kabisa toeni hela muachiweWapeni fungu mapema wasije kuwasumbua kama wa juzi
Bora Bocco kazeeka anaweza kujitetea kwa hiloUtofauti wake na boko ni urefu na ufupi mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maiti imemng'ang'ania muoshajiNiliwaambia hawa kenge mapema kabisa toeni hela muachiwe
Penati za nini sasa?
Duuh wanataka kutoa laana nini wote hao?
Hii KVZ ni ya nchi gani na inashiriki ligi gani!!FT: KVZ 0 - 0 UTOPOLO UNITED
Nani mjinga wa kuuziwa gaka karne hii?Nashauri wachezaji wetu wote waliongia Sub kwenye hiki kipindi cha pili watolewe kwa mkopo.
Hawana impact yoyote kwenye Timu.
Mmeanzaaa mapema yote hii, hata vyumba vya kubadilishia nguo hawajafika kuvua jezi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nashauri wachezaji wetu wote waliongia Sub kwenye hiki kipindi cha pili watolewe kwa mkopo.
Hawana impact yoyote kwenye Timu.
Nini kinafuata mkuu kama wametoa sare? Au kuna marudiano?Penati za nini sasa?
Ndiyo huyo Cha pombe!Huyu Okrah ndio nani? Au ndio yule aliyetoka Simba Sc?
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app