FT: Yanga SC 0 - 0 KVZ FC | Mapinduzi Cup | New Amaan Stadium | 04.01.2024

FT: Yanga SC 0 - 0 KVZ FC | Mapinduzi Cup | New Amaan Stadium | 04.01.2024

Leo lazima Yanga tupige mtu 5 [emoji2772]...

Kuna watu watanuna bila sababu [emoji2]

KAMA TUNAWEKERA SEMENIIIIIIIII [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Leo lazima Yanga tupige mtu 5 [emoji2772]... Kuna watu watanuna bila sababu [emoji2] KAMA TUNAWEKERA SEMENIIIIIIIII [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nadhani sasa utakuwa umeingiwa na hofu kuhusu matokeo ya Yanga katika mechi zijazo jinsi yatakavyokuwa
 
Duh! Kila la heri kwa Wananchi. Naona kikosi kina mabadiliko ya kutosha tu. Nadhani wadogo zetu simba wana cha kujifunza hapa. Siyo kila mechi lazima Kapombe, Onana, Baleke, Ngoma, na Che Malone wacheze..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yanga kuja kuizidi Simba, baadae sanaa.
Sio leo wala kesho, km mmesimama bas tandikeni jamvi mlale.
 
Huyu naanguka anaweza kuwa mchezaji mzuri
 
Back
Top Bottom