FT: Yanga SC 0 - 0 KVZ FC | Mapinduzi Cup | New Amaan Stadium | 04.01.2024

FT: Yanga SC 0 - 0 KVZ FC | Mapinduzi Cup | New Amaan Stadium | 04.01.2024

*Shekhan hamna kitu pale
*Kaanguka ndio ameanguka kabisaa (beki wa pembeni lakini muda wote anafikiria kupeleka mpira kati)
*Kibwana kiwango kimeshuka sana
*Mkude kiwango kimeisha

Yanga tulifungwa, tena kwa penalt... Kinachosaidia marefa wetu ni mashabiki
Hiki kikosi si ndiyo huwa kinasemwa kocha akitaka kupanga anarusha jezi yeyote itakayomuangukia anaingia maana wanafanana ubora au hawa unawazungumzia wachezaji wa KVZ?
 
Back
Top Bottom