OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Makundi bro, penati ni kuanzia roboNini kinafuata mkuu kama wametoa sare? Au kuna marudiano?
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makundi bro, penati ni kuanzia roboNini kinafuata mkuu kama wametoa sare? Au kuna marudiano?
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Hiki kikosi si ndiyo huwa kinasemwa kocha akitaka kupanga anarusha jezi yeyote itakayomuangukia anaingia maana wanafanana ubora au hawa unawazungumzia wachezaji wa KVZ?*Shekhan hamna kitu pale
*Kaanguka ndio ameanguka kabisaa (beki wa pembeni lakini muda wote anafikiria kupeleka mpira kati)
*Kibwana kiwango kimeshuka sana
*Mkude kiwango kimeisha
Yanga tulifungwa, tena kwa penalt... Kinachosaidia marefa wetu ni mashabiki
Hii ni hatua ya makundi so ni points ndio zina matter kwasababu zinahitajika timu mbili zivukeNini kinafuata mkuu kama wametoa sare? Au kuna marudiano?
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Refa amewa discourage hata wangefunga lisingekubaliwaHawa KVZ wangecheza hivi kipindi cha kwanza wakati vitoto vimejaa wangeweza kupata goli.
Valantia ukute ndio Volunteer
Nikwel icho kikosi chao kipya eeeYanga wako over-rated!
Hahahahaha Simba ana point ngapi ligi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yanga kuja kuizidi Simba, baadae sanaa.
Sio leo wala kesho, km mmesimama bas tandikeni jamvi mlale.
Utopwinyo ni hewa, natamani tukutane nao fainali tuwanywe na kuwanusa yaniHii ni hatua ya makundi so ni points ndio zina matter kwasababu zinahitajika timu mbili zivuke
Nyi mlipewa ngapi?Niliwaambia hawa kenge mapema kabisa toeni hela muachiwe
Apewe muda atafanya makubwaHuyu Okrah ndio nani? Au ndio yule aliyetoka Simba Sc?
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Alikuwa mtungi tayari 😂😂😂We hujamuona okrah magic lkn?
Ah! OK Mkuu nimekupata. Katika michuano ambayo huwa sielewi kanuni zake ni hii ya MapinduziMakundi bro, penati ni kuanzia robo
Siyo kipya! Mgeni ni Okrah tu hapoNikwel icho kikosi chao kipya eee
Utakutana nao tenaYanga wako over-rated!
Unasemea points za msimamo wa league? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahaha Simba ana point ngapi ligi?