Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 2,203
- 5,610
Robo fainali
Yanga vs Mamelodi
Muda ni Saa 3 Usiku.
Kuwa hapa nami kwa update za kabla na wakati wa mchezo
Kikosi cha Yanga
Kikosi cha Mamelodi Sundowns
Mchezo umeanza
10' Mchezo bado una Kasi ndogo, timu zinasomana
20' Wageni wanamiliki mpira muda mwingi lakini Yanga wanafanya mashambulizi ya kushtukiza
27' Yanga wanafanya shambulizi Kali, shuti la Musonda linadakwa
30' Mchezo unaendelea kwa ushindani mkali
31' Shambulizi lingine langoni kwa Mamelodi lakini kipa anaudaka mpira.
32' Mapumziko ya dakika moja
42' Mamelodi wanapiga shuti la kwanza golini
45' Zinaongezwa dakika 3
MAPUMZIKO
Kipindi cha pili kimeanza
50' Mchezo umeanza kuchangamka, timu zote zinafunguka
55' Yanga wamefanya mashambulizi mawili makali lakini yote walikuwa wameotea
61' Kipa wa Yanga, Diarra anafanya kazi nzuri ya kuokoa mpira wa krosi uliokuwa na hatari
62' Timu zote zinapeana zamu kumiliki mpira
75’ Shambulizi kali langoni kwa Yanga lakini mpira unaondolewa
77’ Dakika moja ya mapumziko kwa timu zote
83’ Yanga wanaongeza presha ya kutafuta goli
87' Kasi ya mchezo imeongezeka
90' Zinaongezwa dakika 5
FULL TIME