ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaanga wameacha Mpira sasa wameanza kucheza Judo na Karate
mimi naona niko rizimu simsikii kabisaAnanboa badala atangaze mpira anatia mastory π
hapana midomo na kelele ni za SIMBWA πSa
sa si muwafunge kelele za nini?? π
Mayanga yanapoteza mipira hovyo yaani ni zero brain.Mzinzee ni bekii au mshambuliajii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huko nyuma muda wote anafanya nn? Woiiiiiih
Hujui mpira wewe kaa kimyaUpo VIP A au mzunguko?
Naona kama huoni kuwa hili pira limepoa kama uji wa komwe
Unategemea bahati, leo haipo.Jana aliyemiliki mpira alikula kichapo,kuwa mpole uone dk 90 msauz anatoka kichwa chini.
Sasa mtangazajii anavyowapambaa hao Yanga, mbona kimuhe muhe. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mayanga yanapoteza mipira hovyo yaani ni zero brain.