FT: Yanga SC 0-0 Mamelodi Sundowns | CAF CL | Mkapa Stadium | 30/03/2023

FT: Yanga SC 0-0 Mamelodi Sundowns | CAF CL | Mkapa Stadium | 30/03/2023

Ni waoga wa mechi hawa ngoja Okra aje awakimbize
ni dhahiri wanafungika Taifa na vile vile wanafungika kwao, si wachoyo wala wagumu kuachia bao 🐒

wanajuta kudanganywa na SIMBWA ati wanakutana na yanga mbovu 🐒
 
Kumbe mamelody wa kawaida sana, dah tusingekua na injury ya yaoyao,pacome na aucho! Hawa masanda wangeeleza kwanin Bata anaharisha maisha yake yote.
Mpira haupo hivi. Wangekuwepo hao na approach ya mchezo ingebadilika kwa Sundown na Yanga.
 
Huyu mtangazajiiii anavyotangazaa had anaboa sasa, uongo mtupuu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Am back

Hkn timu hapa matapeli wote
IMG_20240330_220824.jpg
 
huyu musoda kweli hana akili ya mpira. badala abadili upande anataka kushindana na hiyo fulu baka kipara.
 
Mzinzee ni bekii au mshambuliajii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huko nyuma muda wote anafanya nn? Woiiiiiih
 
Back
Top Bottom