FT: Yanga SC 0-0 Mamelodi Sundowns | CAF CL | Mkapa Stadium | 30/03/2023

FT: Yanga SC 0-0 Mamelodi Sundowns | CAF CL | Mkapa Stadium | 30/03/2023

Yanga ni bora sna..simba mda Kama huu Jana ushalia[emoji24]
[/QUOTE]
Hakuna timu bora inaayomiliki 26%
 
Tatizo Mlisha aminishana Mamelod ni Litimu likubwaaaaa, kiasi kwamba anapozingua, huoni kama ni makosa unadhani ni mipango, kumbe kapima kina kaona hapa sio pa kukurupuka, unalazimisha aende mbele wakati hapaendeki.
Hivyo unatushauri tujiaminishe kuwa Mamelod ni kateam kadogo?
 
yanga wawe makini naona wana mengi ya kujifunza kwa simba hasa katika hatua kama hizi
Mkuu, huu wimbo wa kujifunza kwa Simba achana nao, hauna maana hapa, Yanga wamefika tunapoishiaga sasa wanajifunza nini?
 
Mimi kama Shabiki kindaki ndaki wa Yanga..
Niseme tuu Pumzi ya kuangalia kipindi Cha pili Sina, naondoka kibanda umiza na Hewani.
Naomba Tag tukishinda au droo, kinyume na hapo TUSIJUANE.
 
Wacha nitembelee Twitter " x" Kisha I will be back after a short commercial break

Thanks
 
Jana waliwafikisha Al Alhy, sema Aston Villa wanakiwasha huku premiere league udugu unaangalia?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yanga wakirudi waongeze makali nao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huko kwa malkia ntakuja baadae, now kituo hapa kwani.
 
Back
Top Bottom