Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Watu tunaomboleza, usitukumbushe machunguYanga ni bora sna..simba mda Kama huu Jana ushalia[emoji24]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu tunaomboleza, usitukumbushe machunguYanga ni bora sna..simba mda Kama huu Jana ushalia[emoji24]
Hawa wetu leo
Ujuha ni mzigo.... Hapo kumbe tunaangalia possession? Mbona hujaangalia shoots on target.
Nimekuachia shalulile akukamie wee ufaidi bolo lakeMimi nakusukumia wewe.
Hayo Mahesabu mnayotaka tuige yamewafikisha wapiwaende kwa mahesabu huku si shirikisho
Hakuna walichikosea sema mdau hapo juu anadai eti Mamelod wanapata shida kwakua wamekutana na Yanga ambayo ni ya hovyo kwahiyo ndio sababu wanashindwa kuonyesha ubora wao. Ndio nilikua namjibuKwani wamekosea wapi mpaka muda huu??
Jana waliwafikisha Al Alhy, sema Aston Villa wanakiwasha huku premiere league udugu unaangalia?? 🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sio kuwahi au kuchelewa, muhimu je mtu amefika mshindo baaas.
Hii Ni Mbinu Pia Ya Gamodi Ya Kuwaachia Kucheza Mpira Ila Umakini Unatakiwa Uwe Mkuu.Mamelod hawana maajabu mbona wepesi Basi tu htuko makini
Majinga hayo. Wachezaji wako 3 tegemezi hawapo lazima ujihami na technically Yanga wapo sawa hadi sasa. Kipindi cha pili, Yanga watafunguka na ushindi upo.Muliokuwa na position kubwa jana kipindi chakwanza mulikwisha kojolewa...Wacheni wivu,hahahaha.Usimaindi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] relaaaaaaxxxxutasubiri sana mnafikiri hii ndio ile shughuli ya jana yakuaibisha taifa..[emoji23]
Kuna shida gani waki posesse wakati wapasiana na kipa wao?
Umeonaje HT?Kejeli hii
Mkuu Nimekusifia wakimayaifa mna Pira safi sana 😅Kejeli hii
Kutangulia Nini?, ukubwa ni namba!mkubwa ni aliyekutangulia ndugu
Mwakarobo jana mli beba kombe la possession .na kimoja ndani
Kuna Tofauti kati ya Possesion na Pass mkuuKuna shida gani waki posesse wakati wapasiana ma kipa wao?
Pia ni sawa na ninaelewa hilo.Bahati mbaya haya sio maonyesho ni game za maamuzi,nadhani wanacheza hivi kwa malengo maalum