permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Yaani Simba ya akina Fred ndio mnataka kuitoa Al Ahly nyumbani ? kule mtapigwa kama ngoma.Bahati haikuwa yetu leo.
Tutakwenda Egypt tukiwa Imara zaidi Inshallah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani Simba ya akina Fred ndio mnataka kuitoa Al Ahly nyumbani ? kule mtapigwa kama ngoma.Bahati haikuwa yetu leo.
Tutakwenda Egypt tukiwa Imara zaidi Inshallah
Kivipi ilhali Yanga anawakosakosa.yanga wawe makini naona wana mengi ya kujifunza kwa simba hasa katika hatua kama hizi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] relaaaaaxxxxtulia mrembo we shughuli yako imeasha jana
Yule yupo kitengo cha kuburudisha.Nje ya mada.....
Hivi Skudu aliendaga wapi? [emoji3166][emoji3166][emoji3166]
😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
nakubaliGame Imekuwa Ngumu Sababu Tumekosa Wachezaji Muhimu (Pacome & Aucho) Ila Discipline Imekuwa Nzuri Tumewaheshimu Wapinzani Tumecheza Vizuri.
Kila La Kheri Dar Young Africans
Ongeza Yao Kwasi mkuu!Game Imekuwa Ngumu Sababu Tumekosa Wachezaji Muhimu (Pacome & Aucho) Ila Discipline Imekuwa Nzuri Tumewaheshimu Wapinzani Tumecheza Vizuri.
Kila La Kheri Dar Young Africans
Mtoto mzuri ila unapenda kubatuliwaMbona yupooo subs hapo.
Sasa hao wamewekeza kuliko yanga mbona watu wao sasa wanashindwa kuitendea haki investment value yaoSio kweli.
Ili mbinu ifanye kazi unahitaji watu makini,na watu makini huwezi kuwapata bila investment ya uhakika
waende kwa mahesabu huku si shirikisho[emoji23][emoji23][emoji23]Yapi hayo mwakarobo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sio kuwahi au kuchelewa, muhimu je mtu amefika mshindo baaas.Jana nyie dk za mwanzo wamewapiga cha mkwezi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pira limepoa sana hili yaani utadhani ndondo mechiNdio maana wakaruhusu kuingia Bure, watu wangejilaumu sana kama kingekuwa na kiingilio
Barida.Amini kwamba mshua.....
AmenLolote liwakute asee
Mungu ibariki Mamelodi