United ya Ferguson
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 3,132
- 6,353
mchezaji kakulia ipogolo sjui mafinga unategemea atafanya Nin kwenye Big game kama hiiMzize ni striker ambaye anongoza kukosa clear chance mara chache sana itokee mechi bila kupoteza nafasi za wazi.
Nipo Nyampulukano hapaTaja sehemu unayo tazamia mpira huu
Mm Niko kijini kbsaa ndani ndani banda umiza
awekwe na yeye hatutaki visingizioZwane umemuona hapo?
Kocha huyu Ni mla matikiti mjinga nsaaHata kama Yanga siipendi ila sub ya Azizi Ki naona kocha kama kakurupuka
Huyu Guede atatupa maneno
Hauhitaji cheti kujua kuwa game plan yake kipindi cha kwanza ilikuwa mbaya otherwise tayari wangekuwa na goli. Angalia kipindi cha pili walivyobadilika kidogo. Yanga iliyokamilika inaenda kumfunga Sundowns kwao kama leo watatoa droo.Kwa hio wewe unajua kuliko kocha wao?
Huyu jamaa anapaisha angetulia kidogo tu hapa tungepata Goli..Tumewakosaje hawa??
Kijijngani hukoNipo Nyampulukano hapa
Hachezi bana anazunguka tu itakua kashiba sana futariAziz kii hakupaswaa kutoka, kocha kakosea sana.
Guede ndo kawafikisha hapa kwa goli lake la 4.Dah! Guede tena!! Anyway ngoa tusubiri tuone. Kwa Okrah sina hata wasiwasi. Maana huu mchezo hauhitaji mchezaji wa kusubiri kuletewa mpira.
Maseko umemuona hapo?awekwe na yeye hatutaki visingizio
We unaona 8Nyuma yanga wako 8
leo.yanga ina Mabeki 9