dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Shogaa shilole katokaakmmk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nae kaingizwa kumaliza utataMaseko umemuona hapo?
mbona anaye cheza faulo muda huu n mamelodi mkuu ama una chuki na wananchiSasa Yanga hii Judo au Mpira???
Guede hana kasi! Anatumia nguvu nyingi kuliko akili akimkaba mpinzani wake, nk! Siyo mchezaji wa kumuwekea dhamana hata kidogo.Guede atafanya maajabu subir uwone mkuu
Sasa kaingizwaa mwshoniiiii huku, aaaahnae kaingizwa kumaliza utata
amemchelewesha vp hata kikosi cha kwanza huwa haanziWoyoooooooh namuona maseko anaingia hapo kwa dimba, kocha kakosea anamcheleweshaa mnoo aaah.
Umeonaaa [emoji91][emoji91] ya masekoo??amemchelewesha vp hata kikosi cha kwanza huwa haanzi
bora uogope uwe salama kuliko kujifanya unafunguka unapigwaNi uoga kimpira 🤣🤣
Hao ni mabingwa wa super ligi.Hawa manelod tuliwaogopa bure,pasi zaoo hazina madhara na wanapoteza hovyo pasi
Kama hii memelodi ilio weka full mkoko wame shindwa kuwafunga Yanga wa leo baaasi match ijayo wana pigwa vzurii saanaKwahyo Uto mtashinda afrika kusini [emoji196][emoji196][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]