Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna 5G za bahasha na za Majini. November 5 ilikuwa ya MajiniKama zilivyotembezwa halftime ya 5 November mkala chuma 4 kipindi cha pili na mwisho ubao ukasoma 5G
😅😅😅 Pacome anatokea benchi? atafanya nini sasa
Machizi hawa.Kama zilivyotembezwa halftime ya 5 November mkala chuma 4 kipindi cha pili na mwisho ubao ukasoma 5G
Geita wamekataa bahashaKuna 5G za bahasha na za Majini. November 5 ilikuwa ya Majini
Sawa, Muda ni mwamuzi sana
Inashangaza sana?Hii ndiyo timu inatarajia kucheza na Mamelod!!?
Hii ndio timu iliyowapiga 5G.Hii ndiyo timu inatarajia kucheza na Mamelod!!?
Majini FcHii ndiyo timu inatarajia kucheza na Mamelod!!?
Uto maziwa ya ngamia hayo ama?Unainjoi pira la yanga na kikombe cha maziwa pembeni. Kwanini nisinenepe mimi?
Raha zote hizi
View attachment 2934568
All the Best Geita GoldGeita atasawazisha
Ataumia😅😅😅 Pacome anatokea benchi? atafanya nini sasa
Maziwa ya simba yale tuliyomkamua nov 5Uto maziwa ya ngamia hayo ama?
Tangu umepewa haujanywa ili usije kuambiwa uondokeUnainjoi pira la yanga na kikombe cha maziwa pembeni. Kwanini nisinenepe mimi?
Raha zote hizi
View attachment 2934568