Mimi najua sheria hiyo ahadi yako haijakamilika ingebidi uandikeView attachment 2984189nimeweka ahadi
Akianzisha uzi muda wa mechi, tutapata wapi muda wa kujadiliana kuhusu hii mechi?Mbona bado mapema au wenzetu mnalipwa mkianzisha nyuzi???
Naunga mkono hoja....Mimi najua sheria hiyo ahadi yako haijakamilika ingebidi uandike
"Mimi Sumbai nahaidi kwamba Yanga ikishinda mechi yake ya tarehe 8/05/2024 watakayocheza na Kagera Sugar nitampa Ephen shillingi elfu 10 ya Kitanzania"
Mbona mnataka kuwapangia watu vitu vya kufanya? Kwani amevunja sheria? Ulitaka a post saa ngapi ?Hiki ndo kipimo cha watu wa hovyo tulio nao Afrika... nchi ina watu wa hovyo sijai ona!!
Nchi ina watu wa hovyo sana hii.Mbona mnataka kuwapangia watu vitu vya kufanya? Kwani amevunja sheria? Ulitaka a post saa ngapi ?
Watoke sifuri bin sifuriWamegombana kwani?
Ina maana hawa ni wagumu kwenye makafara kuliko makolofive? Dah ila Gamondi anachofanya sio sawa, kasababisha Robert na mzee wa Benchi wote kwa pamoja wasifundishe tena Simba. Mwingine kaondoka kwa kususa na mwingine kwa kufukuzwa.Vipi mshatoa kafara ya goli moja mtakaloshinda leo
Ondoka TZ ukaishi mwenyewe panapokufaa na utakatifu wako, kwanini uteseke ktk sayari hii?Hiki ndo kipimo cha watu wa hovyo tulio nao Afrika... nchi ina watu wa hovyo sijai ona!!
Wewe pia ni mtu wa hovyo tu!Ondoka TZ ukaishi mwenyewe panapokufaa na utakatifu wako, kwanini uteseke ktk sayari hii?
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
fundii wa boli huyuAzizi ki
Hat trick