FT: Yanga SC 1-0 Kagera sugar Fc | NBC Premier League | Azam Complex | 08.5.2024

FT: Yanga SC 1-0 Kagera sugar Fc | NBC Premier League | Azam Complex | 08.5.2024

🔰𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇 𝐃𝐀𝐘🔰

🏆 #NBCPremierLeague
⚽️ Young Africans🆚Kagera sugar FC
📆 08.05.2024
🏟 Azam complex
🕖01:00 usikuView attachment 2984485

Kikosi kinachoanza dhidi ya Kagera Sugar


View attachment 2984758
mpira umeanza

dakika ya 5
0-0

dakika ya 10
0-0

dakika 13
yanga sc wanafanya shambulizi aziz k ananaswa kwenye mtego wa offside

dakika ya 15
0-0

dakika ya 20
yanga sc wanapata kona

dakika ya 22
kagera sugar wanapata freekick chirwa kazchezewa madhambi wamepiga wamekosa

dakika ya 25
max kakosa goli la waziii bado ni
0-0

dakika 29
mpira umesimama kipa wa kagera sugar kaumia

dakika ya 31
kagera sugar wametengeneza nafasi chirwaaaaa anakosa nafasi ya wazi kabisaa

dakika ya 35
0-0

dakika ya 37
aziz k anakosa nafasi ya wazii

dakika ya 41
chirwaa amechezewa madhambi

dakika ya 43
pacomeee kakosa nafasi ya wazi

dakika ya 45+5
HT: Yanga SC 0-0 Kagera Sugar
View attachment 2984829

kipindi cha pili kimeanza

dakika ya 46
0-0

dakika ya 50
aziz k kafanyiwa madhambi kwenye boxi la kagera sugar anaenda kupiga mpiraa aiyaa amekosaa kagongesha mwamba chini kulia hapa

dakika ya 55
0-0

dakika ya 59
yanga wanakosa nafasi ya wazii hapa mechi imesimama mchezaji wa kagera sugar kaumia

dakika ya 62
yanga sc wanafanya mabadiliko anatoka job anangia mzize

dakika ya 66
0-0

dakika ya 70
yanga sc wanakosa nafasi ya waziii guede anakosa hapa

dakika ya 73
yanga sc wanafanya mabadiliko anatoka pacome anaingia mudathir anatoka farid anaingia lomalisa


dakika ya 76
yanga anakosa nafasi ya wazi
Naitwa KAGERA mwana wa SUGAR Kutoka MAKONGOLOSI CHUNYA MBEYA naitakia kagera sugar draw au ushindi wa 1 bila 😊😊😊
 
🔰𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇 𝐃𝐀𝐘🔰

🏆 #NBCPremierLeague
⚽️ Young Africans🆚Kagera sugar FC
📆 08.05.2024
🏟 Azam complex
🕖01:00 usikuView attachment 2984485

Kikosi kinachoanza dhidi ya Kagera Sugar


View attachment 2984758
mpira umeanza

dakika ya 5
0-0

dakika ya 10
0-0

dakika 13
yanga sc wanafanya shambulizi aziz k ananaswa kwenye mtego wa offside

dakika ya 15
0-0

dakika ya 20
yanga sc wanapata kona

dakika ya 22
kagera sugar wanapata freekick chirwa kazchezewa madhambi wamepiga wamekosa

dakika ya 25
max kakosa goli la waziii bado ni
0-0

dakika 29
mpira umesimama kipa wa kagera sugar kaumia

dakika ya 31
kagera sugar wametengeneza nafasi chirwaaaaa anakosa nafasi ya wazi kabisaa

dakika ya 35
0-0

dakika ya 37
aziz k anakosa nafasi ya wazii

dakika ya 41
chirwaa amechezewa madhambi

dakika ya 43
pacomeee kakosa nafasi ya wazi

dakika ya 45+5
HT: Yanga SC 0-0 Kagera Sugar
View attachment 2984829

kipindi cha pili kimeanza

dakika ya 46
0-0

dakika ya 50
aziz k kafanyiwa madhambi kwenye boxi la kagera sugar anaenda kupiga mpiraa aiyaa amekosaa kagongesha mwamba chini kulia hapa

dakika ya 55
0-0

dakika ya 59
yanga wanakosa nafasi ya wazii hapa mechi imesimama mchezaji wa kagera sugar kaumia

dakika ya 62
yanga sc wanafanya mabadiliko anatoka job anangia mzize

dakika ya 66
0-0

dakika ya 70
yanga sc wanakosa nafasi ya waziii guede anakosa hapa

dakika ya 73
yanga sc wanafanya mabadiliko anatoka pacome anaingia mudathir anatoka farid anaingia lomalisa


dakika ya 76
yanga anakosa nafasi ya wazi

dakika ya 81
mudaaaathiiirrr goooooaaal
TFF hao Yanga 1-Kagera 0 dakika 81
 
Back
Top Bottom