Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hama baa mdogo anguNilikua nimelala fofofo nimeshtuka kwa kelele za watu bar hadi nimepaliwa, nikakimbilia humu kuandika najua Guede ashafanya yakee🤸
Nani kashinda hiko kimoja?
Eti Yanga 1-Kagera 0 dakika ya 81wamefanyaje mkuu
Heeeeee wana 5imba mmeanza kuchanganyikiwa sio.....🤣🤣🤣🤣
WamekataaGoaaaaaaaaalllllllllllllllll💛💚🤸
Umeshaona mmepata goli la maelekezo ndio unakuja sasa hv eeeh?Vipi Msha cheza fainal yenu ya mshindi wa pili..
Dakika ya 87
Endelea kusema timu za watu na hauchezi club bingwa😀Niliwahi kusema hapa hii timu ina poor strategies
lol.Mimi
Weeew!Endelea kusema timu za watu na hauchezi club bingwa😀
Vipi nizimie tena Mtani? 🤣🤣🤣
Amezimia mmepata goli la offsidelol.
Kwakweli yenu yenye best strategies tumeiona 😹😹😹Niliwahi kusema hapa hii timu ina poor strategies
ya TFFOffside??? How