kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
Wanashinda ila Furaha hakuna..?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesho ni jumatatu siku ya kazi na foleni yake wote tunaijua.mkuu sa tatu kweli unalala?
IpoYanga hatuna plan B ya kuwafungua KMC
Umri ukishaenda huwezi kutoa zaidi ya hilo ni kimoja tu zaidi ya hapo ni kutaka wazee wafeYanga hatujazoea kabisa bao 1, yani bao 1 tunaonaga kama hatujafunga kabisa.....
Wakati majirani bao moja meno yote nje.
Huyo kwisha habarI yake , mwakani mwakani hata majimaji fc hapati nambaAziz ki mechi ya pili hii hayuko sawa
Musonda msimu ujao atafute timu ya kwenda
Yanga atapata drawYanga hatuna plan B ya kuwafungua KMC
Mkuu Dube, Mzize anayetakiwa na Widadi, Otos Baleke, Musonda kweli unasema hakuna striker wa maana??Kocha ajue kua watu washamstukia mbinu yake, hivi vitimu vitajua ili Yanga isikuonee we paki bus kwasababu yanga hawana Straiker wa maana