3 Angels message
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 5,350
- 15,426
Tumeanza kutegemea maombi tena!!Eeeh Mungu[emoji120][emoji120]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumeanza kutegemea maombi tena!!Eeeh Mungu[emoji120][emoji120]
Serious?😂hii mechi tunashinda 2 bila
ni kosa kisheria, Namungo yafaa walifikishe T.F.F hili3 against one?
This is shame
subiri uta aminiSerious?😂
Ha ha ha ha kutoka Tbc FmAlphonce kutoka Geita, Yanga Funga Namungo hao 5.
hawasaki, sema wana zuia yanga kupata pointi 3Leo Namungo kweli wazisaka point 3
anapigwa dk si nyingiNamungo wamekosa kosa tena hapa
Ametoka nafasi yake akaingia MudathirJamani Si aingizwe Pacome.
Mbwembwe zote Chalii 😆🤣😅 uto no uto tuuMabingwa watetezi wa ligi kuu nchini Tanzania Young Africans Leo wanajitupa dimbani kumenyana na Namungo Fc katika mchezo wa ligi ya NBC.
Ikumbukwe katika michezo miwili iliyopita ya ligi Yanga wametoa vipigo vikali vya goli 5-0 kwa timu za Kmc na Jkt Tanzania, Je 5G itaendelea tena Leo?
Mchezo huu utapigwa mishale ya saa 1.00 usiku na utarushwa na Azam Sports1 HD
Timu zote mbili tayari zipo uwanjani na muda wowote refarii atapuliza kipenga kuashiria kuanza kwa kabumbu
00" Mpira umeanza Yanga ndio wameanzisha mpira
View attachment 2755991
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
---