Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Hawa wanakufa, we subiri tu.Wale wenzangu wa GG tukutane kwa wakala [emoji857][emoji857]
Sasa tumalize mchezo kwa kuua hawa pimbi yanga
Kwani SAA hizi unaamini kama Aziz Ki ameshacheka na nyavu?Yanga atafungwa hii mechi hata amini
AhahahahahHilo shuti halijawai tokeaa Toka mfumo wa vyama vingi kuanzishwaa Hapa nchin
Subiri mkuu leo ndo mwisho wenu ile ilikua faulo tuu sio goli la kulisoteaFuraha yenu hua haidumu
Hmmh hivi unaangalia mpira au unafuatilia updates za hapa? Hii game hamchomoki leo.Nadhani mashabiki wa Simba sasa washajua nin kinafuata
Watulie hao tukate jando vizuriMshaanza kulaumiana tayari
Hahahaha kaka vpDuuuh
Kabisa dhidi ya ManulaAlichofanya Aziz Ki ni ugaidi
Kaka funga mdomo, hyo ni bahati tu!! Aziz ki ameprove mutant
Watasingizia GSM alitowa bahasha kwenye vyumba vya kubadirishia nguo.Nadhani mashabiki wa Simba sasa washajua nin kinafuata