FT: Yanga SC 1-1 Simba SC | Ligi Kuu NBC '22/'23 | Benjamin Mkapa Stadium

Profesa Nabi, kwa heshima yangu naomba umpumzishe Tuisila Kisinda. Halafu nafasi yake mpe Sure Boy kama yupo, au Farid Mussa.

Naona kama hajaingia vyema kwenye mfumo wako.
 
Azizi Ki alivyoshangilia kamyooshea kidole cha poa Eng Hersi jukwaani na yeye kajibu ,Hersi anafurahia sana akishinda Azizi Kukilo mchezaji yeyote pale Yanga nimeona hata ile mechi ya ligi kuu.
Aziz kamuendesha sana Hersi kwenye kumsajili.Ila bado ni hasara kimataifa aonyeshi kilicho bora kwasababu yupo timu ya wazee wengi ni vibabu.
 
Hongereni utopolo lile golini hakuna namna Manula mpira angeufuata.
 
46' Israel Mwenda anaoneshwa kadi ya njano kumuangusha Kisinda
 
Kisinda anawekwa chini pale

Mwenda anapewa njano
 
47' Yanga wanapata kona hapa kuelekea Simba, inapigwa na Azizi Ki inaenda nje
 
Kona ya Azizi ki inatoka nje freely
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…