Bado subiri tutawakanda tuHawa wasenge wamepona au?! Mbona sielewi
mgunda mchawi balaa kawaokoa makolo hii mechiHakuna cha waganga wa Yanga... jamani Yanga wamecheza vizuri... na mshukuru uchawi wenu kwenye goal lenu mpira ukawa unapaa. Maji mngeita mma leo.. [emoji169][emoji172]
Wewe umeangalia mpira gani? Basi tu mpira una matokeo ya kikatili ila ilifkiwa tushinde kabisa.Hakuna cha waganga wa Yanga... jamani Yanga wamecheza vizuri... na mshukuru uchawi wenu kwenye goal lenu mpira ukawa unapaa. Maji mngeita mma leo.. [emoji169][emoji172]